Recent content by Tarime2015

  1. T

    JamiiForums Tanzania Mwigamba: Sitoki wala siombi radhi. Atoa ufafanuzi kuhusu Waraka wa Mkakati wa Mabadiliko 2013

    Tena ni watumwa Haswaaaaaa,lakini siku wakiumbuka hao wanawaabudu sijui watafanyaje,Mimi ni mwanachadema wa kweli lakini kamwe siwezi kuyafumbia macho maovu ya viongozi wetu,hivi wanachadema hawa mmerogwa na Mbowe? au kawatia upofu?
  2. T

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa CHADEMA uwanja wa Mbungani Mwanza - Wenje na Mawazo wanguruma

    aisee kumbe wenje mjaluo nae mhafidhina! Hamuoni mjaluo mwenzie marando kilichomkuta.
  3. T

    JamiiForums Tanzania Tahadhari Kubwa kwa watu wote

    Wewe ni msemaji wa Zitto? Atoke mwenyewe kukemea na kulaani yanayofanywa na TEAM ZITTO,Otherwise itamcost.
  4. T

    JamiiForums Tanzania Mwigamba: Sitoki wala siombi radhi. Atoa ufafanuzi kuhusu Waraka wa Mkakati wa Mabadiliko 2013

    Leo unakana kijana,kama mwenzio Kilewo alivyoukana waraka wa siri juu Zitto..Yaani Nyie vijana mnatuharibia chama,hata Zitto akifukuzwa Nyie pia mnatakiwa kuondoka.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Mwigamba: Sitoki wala siombi radhi. Atoa ufafanuzi kuhusu Waraka wa Mkakati wa Mabadiliko 2013

    Kwani Kila mwanachama anashiriki vikao vya kitaifa? anaweza shiriki vikao vya kamati tandaji ya Kata.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Mwigamba: Sitoki wala siombi radhi. Atoa ufafanuzi kuhusu Waraka wa Mkakati wa Mabadiliko 2013

    Nakuunga mkono kamanda mwenzangu,ni kweli Zitto na wenzie ni wakosefu lakini pia Mbowe na wenzie Si malaika..Kuna haja ya kuchukuliwa hatua kina Lema,Kilewo,Saa nane na wengine waliokuwa wakimshambulia Zitto kwenye media.
  7. T

    JamiiForums Tanzania Mwigamba: Sitoki wala siombi radhi. Atoa ufafanuzi kuhusu Waraka wa Mkakati wa Mabadiliko 2013

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadena mkoa wa Arusha Ndg. Samson Mwigamba asema hatoki chadema,na wala hataomba radhi. Source; Mwananchi ============ TAARIFA YA SAMSON MWIGAMBA KWA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU WARAKA WA MKAKATI WA MABADILIKO 2013 Jumatano, 27 Novemba 2013 Jana katika taarifa kwa...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Haya ndiyo Makosa 11 anayotuhumiwa Zitto Kabwe na chama chake cha CHADEMA...

    Cha ajabu sisi wana chadema hatutaki kusikia wala kukemea maovu ya Mbowe.
Back
Top Bottom