Haya ndiyo Makosa 11 anayotuhumiwa Zitto Kabwe na chama chake cha CHADEMA...

hahahaahaha...kwa speech ya lisu tayari zitto anahujumiwa...eti hatutaki kuweka tuhuma wazi ila si alizozisema zitto na dk.mkumbo...eti ukiwa na nia ya kugombea unaandka barua kwa katibu mkuu hivi kweli kuna kitu kama hicho dunia ipi..et ohh zito ajawahi kuhoji pesa za sabodo na ruzuku kwenye vikao vya chama..sasa atahoji ili nani atekeleze? Mbowe au mkwe wake au vibaraka wa mbowe? Na watueleze ni kwa nini zitto alijitoa kuwa signatory kama si ufisadi wa mbowe na kufanya chama mali yake ikiwemo kukiuzia chama magari chakavu..kukikopesha chama ruzuku kama pesa yake..etc chadema ni saccos ya mbowe na mtei full stop vbaraka wengne wa mbowe njaa zinawasumbua mwsho umefka go zito go zito toa uozo chadema si mama yako wala baba yako..mvuto wa zitto kisiasa na uwezo wake wa kujenga hoja ndio umeifksha chadema pale ilipo toka enzi za buzwagi saga adi leo...chadema masalia wanaoshinda ufipa ni waganga njaa ndio maana mbowe anawawin kirahisi...mbowe si mwanasiasa ni bussines man na silaha anatafta pensheni kwa hili mnyka na umeonyesha udhaifu sana kwa sababu silaha tunajua alishakuwa mtumwa wa mbowe na mtei wewe nawe umeingia uko mnyka kuwa saccos member?

Your brain matches your name perfectly...
 
Hivi mzazi wako au mtu yoyote utamdharau kwasababu tu ya elimu yake ndogo??!!

Raisi Mwinyi alikuwa na elimu gani alipokuwa Raisi wa nchi hii?

Acheni unafiki na kuendekeza siasa kwenye kila jambo!

Wakati ule sio leo kila wakati na mambo yake mwaka 1985-1995 ni historia nyingine,ilikuwa mfumo wa chama kimoja leo mfumo wa vyama vingi.
 
Nimegundua watu wanachuki binafsi na Zito,hawataki ukweliii:vijana Wachadema si walisema Shibuda aliwaambia kipindi kile kesi ya Ugaidi,Waseme wametumwa na Mbowe na Slaa,ukitaka kujua ni unafiki wa kina Kileo na wenzao ndo huu,kwa akili ya kawaida kama yale maneno yana ukweli nani anakigawa CHAMA?????????
Tuache UNAFIKI
Samahani lakini,nirudi katika waraka nimeusoma huu waraka mara nyingi,sioni tatizo,zaidi ya kuwa na mambo mazuri kwa Chadema yenye afya kama yatafanyiwa kazi,bila hata Zito kuwa kiongozi,mimi kutoka Moyoni nataka Slaa na Mbowe waondoke katika Uongozi,pia Zito asiwe kiongozi wote wabaki kuwa washauri na wajumbe
Nakubali Zitto Kabwe ana Udhaifu wake lakini Mbowe na Slaa sio Malaika!
Swali kwa Wadau maana huu waraka tumejadili kihisi kumuhusu Zitto wakati yeye ajauandaa,Je ikitokea ukakamatwa waraka unamuhusisha Mbowe kutaka kusiwe na Ukomo katika nafasi ya Uenyekiti je mbowe achukuliwe Hatua gani????

Toka asubuhi mpaka sasa unacopy na kupaste maneno hayahaya kama kasuku pimbi wewe! Kama huna cha kuandika si uwe msomaji tu?
 
Nimegundua watu wanachuki binafsi na Zito,hawataki ukweliii:vijana Wachadema si walisema Shibuda aliwaambia kipindi kile kesi ya Ugaidi,Waseme wametumwa na Mbowe na Slaa,ukitaka kujua ni unafiki wa kina Kileo na wenzao ndo huu,kwa akili ya kawaida kama yale maneno yana ukweli nani anakigawa CHAMA?????????
Tuache UNAFIKI
Samahani lakini,nirudi katika waraka nimeusoma huu waraka mara nyingi,sioni tatizo,zaidi ya kuwa na mambo mazuri kwa Chadema yenye afya kama yatafanyiwa kazi,bila hata Zito kuwa kiongozi,mimi kutoka Moyoni nataka Slaa na Mbowe waondoke katika Uongozi,pia Zito asiwe kiongozi wote wabaki kuwa washauri na wajumbe
Nakubali Zitto Kabwe ana Udhaifu wake lakini Mbowe na Slaa sio Malaika!
Swali kwa Wadau maana huu waraka tumejadili kihisi kumuhusu Zitto wakati yeye ajauandaa,Je ikitokea ukakamatwa waraka unamuhusisha Mbowe kutaka kusiwe na Ukomo katika nafasi ya Uenyekiti je mbowe achukuliwe Hatua gani????
Kama umeusoma waraka huo na huoni tatizo lolote,kwa nini ulifanywa kuwa wa siri? Tatizo wewe ni shabiki wa Zitto hata kama amekosea unashabakia tu.Hauna tofauti na shabiki wa mpira ambaye timu yake ikifungwa bado anaishabikia tu.​
 
Nimegundua ni vigumu kwa Zitto na Kitilla kusalimika baada ya kusoma kauli hii iliyotolewa na Lissu kwa waandishi jana.

Habarileo limemnukuu Lissu kama ifuatavyo:

"Waraka huu umetoa matusi mazito dhidi ya Mwenyekiti wetu,ikiwamo kuitwa kuwa ana elimu ya chini na ana akili ndogo na nzito,halafu mtu huyo huyo alietoa matusi hayo dhidi ya kiongozi wake wa chama anadai eti anakiheshimu chama,kwa hili tumewashitukia,"alisema.

Ndugu mwana JF kama kweli hii ndio kauli kwenye waraka huo kuna kusalimika hapa?

Ni vigumu kwa Zitto na Kitila kusalimika kuliko ilivyo vigumu kwa Ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Maskini wanatia huruma. Wao wakiwaambia wengine wanaakili ndogo ni sawa. Ila wakiambiwa wao ukweli wanawayawaya eti matusi. Kweli haya ni maajabu ya LEMA. BASI NGOJA MIMI NISEME MBOWE ANA AKILI KUBWA SIO NDOGO.
 
Mtaanzisha thread nyingi mwisho wa siku Zitto atatakiwa kujibu tuhuma zake ndani ya siku 14 tangu akabidhiwe barua yake.
 
Ndiyo tatizo la watanzania mtu anaelimu ndogo anataka kuitwa anaelimu kubwa mambo gani haya.

Bora elimu ndogo lakini uwe na hekima,kuliko elimu kubwa bila hekima vinginevyo maraisi wetu wangekuwa maprofesa na mawaziri wenye mamasters.
 
Hivi katika makosa hayo 11 hakuna la hukumu ya kunyongwa hadi kufa???? Hawatakiwi waendelee kueneza virusi!!! Kirusi katika chama ni hatari sana hiki!!!
 
Watu wanapigana na ukweli, hivi mwenye elimu ndogo tumuiteje?

Hivi mwanao akikuambia mk¤nd.u wako utacheka cheka tu kwa vile unao?Au niweke picha ndo uelewe?maana unajitoa ufahamu makusudi tu.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kama mahesabu ya CDM hayajakaguliwa sio suala la CDM, ni suala la CAG na msajili wa vyama; sasa CDM iingekuwa inawafuata waje kufanyakazi yao??? je ndo kazi zinafanyika hivyo??? hilo suala kamwe haliwezi kuwa la CDM ni watu wajinga tu kama wasaliti wanaweza kufikiria hilo ni la chama wakati ni la wenye majukumu hayo.

Wewe kweli ----- sana. Unafanya kazi wapi? Taasisi za serikali au taasisi zote zinazopata pesa toka serikalini zina jukumu la kuhakikisha kwamba hesabu zao zinakaguliwa na CAG. Umeelewa wewe -----. Mnaongea vitu msivyovijua mbwa nyie, mnanikera sana. CDM,CCM ,TLPna wajinga wengine kama unavyowaita walitakiwa kuhakikisha hesabu zao zinakaguliwa na CAG. Hiyo ni pesa yetu walipa kodi, inaliwa na wapiga kelele na waanzisha maandmano tu. Kuna adhabu stahili zinazopaswa kuchukuliwa kwa taasisi yoyote ambayo haijakaguliwa na CAG ikiwa ni pamoja na adhabu ya kifungo kwa wahusika.
 
Hivi mwanao akikuambia mk¤nd.u wako utacheka cheka tu kwa vile unao?Au niweke picha ndo uelewe?maana unajitoa ufahamu makusudi tu.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Huu ni mfano sahihi kabisa kwa watu kama hawa.

Akileta ubishi mtumie picha kwa PM
 
hahahaahaha...kwa speech ya lisu tayari zitto anahujumiwa...eti hatutaki kuweka tuhuma wazi ila si alizozisema zitto na dk.mkumbo...eti ukiwa na nia ya kugombea unaandka barua kwa katibu mkuu hivi kweli kuna kitu kama hicho dunia ipi..et ohh zito ajawahi kuhoji pesa za sabodo na ruzuku kwenye vikao vya chama..sasa atahoji ili nani atekeleze? Mbowe au mkwe wake au vibaraka wa mbowe? Na watueleze ni kwa nini zitto alijitoa kuwa signatory kama si ufisadi wa mbowe na kufanya chama mali yake ikiwemo kukiuzia chama magari chakavu..kukikopesha chama ruzuku kama pesa yake..etc chadema ni saccos ya mbowe na mtei full stop vbaraka wengne wa mbowe njaa zinawasumbua mwsho umefka go zito go zito toa uozo chadema si mama yako wala baba yako..mvuto wa zitto kisiasa na uwezo wake wa kujenga hoja ndio umeifksha chadema pale ilipo toka enzi za buzwagi saga adi leo...chadema masalia wanaoshinda ufipa ni waganga njaa ndio maana mbowe anawawin kirahisi...mbowe si mwanasiasa ni bussines man na silaha anatafta pensheni kwa hili mnyka na umeonyesha udhaifu sana kwa sababu silaha tunajua alishakuwa mtumwa wa mbowe na mtei wewe nawe umeingia uko mnyka kuwa saccos member?

Umeambiwa tuhuma ziko kwenye barua walizoandikiwa. Na huenda zikawekwa wazi baada ya watuhumiwa kutoa utetezi wao. Sasa huelewi nini au ulisha amua kufa na ccm. Mtu afukuzwe CDM wanaosikikitika na kulia ccm. I can not imagine.
 
Jambo la muimu hapa kwa wale wote wanaopinga maamuzi ya CC ni kwamba, Je! Msaliti anapokamatwa ni adhabu ipi inayomstaili?
 
Back
Top Bottom