Huu mtandao wa Vodacom kwa sasa naona umekuwa na system za kutuibia wateja wake kwenye upande wa salio la kawaida.
Nimekuwa na changamoto katika mtandao huo takribani miezi kadhaa yaani kila nikiweka salio wananikata Tsh 200/=, bila taarifa yoyote.
Nimewasiliana nao mara kadhaa lakini sijapata...
Wanawake wa kipindi hiki(digital) hampendi kujishughulisha ili kulea watoto wenu mbadala wake mnahangaika na wanaume ambao wamewakimbia kwa sababu wameshakuona hueleweki au pengine msumbufu na yeye ana familia nyingine kwako ilitokea dharula tu.
Mimi na ndugu zangu tulilelewa na mama yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.