Suluhu ya idara hii isiwe chini ya waziri anayeteuliwa na Rais aliyepo madarakani.Msiwalaumu waliomo kwenye hiyo idara.Tujilaumu na Bunge letu kuchanganya wanataaluma wa idara nyeti na makada CHAWA NA WAPAMBE hadi Bosi ananuna.
Lissu ni muwazi,mkweli na mvumilivu,hujenga hoja kwa ushahidi.
Ajabu moja ya Lissu hata kama adui yake ameongea jambo la haki kisheria huwa anamuunga mkono bila kujali itikadi zao.
Waliompamba walipewa mlungula,kupata control number ya malipo Tanesco ni karne inapita. ukishalipia, kuunganishiwa subiri jirani na uchaguzi. Umeme ukiingia tu TOOZO hadi kupukuta vumbi kwenye nyaya.
Ni bora mtu akipata kuwa tu ajaze fomu ya Tanesco
Sure,uhuni alioutumia kuumiza watu ndani na nje ya mipaka ya mamlaka ya utawala wake,ndio uhuni huohuo unatumika kwake kwani mfumo ni uleule.Wengine wajifunze."UNAKUWA MPAMBE HADI BOSI ANAKASIRIKA"Sugu hawakumuelewa akiwa bungeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.