Unapo zungumzia mali unaishia kusema nyumba moja,hebu hizo mali anazo miliki mbona huzitajia tofauti na hicho kijumba kimoja?mshara wake unaujua?je hana mkopo kuweza support project zake nje ya kazi?
Mkuu sometimes ukawa sahihi au si sahihi, huyu unaemzungunzia Mimi namfaha huwenda zaidi yako, toka akiwa Mtwara,akaja Magogoni then akawa CEO
Swali langu kwako,shinda ni madudu anayo fanya au kumiliki mali?Toka atoke Mtwara ni zaidi ya miaka minne je kwa nafasi yake atashindwa kujenga ?kwani...
Kuhusu ubadhilifu wa fedha siwezi kusemea sana,ila nacho jua mtendaji mkuu unae mzunguzia ni mtu mwema sana na ana hofu ya Mungu,ni mnyenyekevu sana
Huwenda akawa na mapungufu kama binadamu,ila si vyema kuzunguzia negative tu,nahisi umeangalia upande mmoja mtoa mada
Nahisii hii taarifa imeandikwa kwa hisia negative tu,why usiangalie na positive zake mleta mada,una uhakika anajenga ghorofa Kigamboni?na hata kama akijenga Ghorofa kwa nafasi yake mbona ni jambo la kawaida tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.