Watanzania sisi siyo waaminifu kwenye Kazi, hatupo serious, hatujali kuiba Hadi kufilisi ukiangalia bank za Equit Tanzania nzima ni Kama 30% ya watanzania walioajiliwa huko percent nyingne yote ni wakenya..ifike mahali watanzania tujitambue
Habari zenu wakubwa
Anahitajika binti aliyemaliza form four wa kuuza duka mkoani
Awe anatokea Singida,babati au morogoro awe mcha Mungu malazi ataishi kwa mwajiri.
Unayeweza nitafutia huyu binti nipm
Kinachonitisha kwao waswahili Swahili flani hivi asijenifanyia vitu vya ajabu nawaza niende police ili ishu ijulikane ila yakifika kwa husband to be itakuwaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.