Recent content by Tanzania1960

  1. T

    Mechi ya Yanga FC Vs Mediama - Uwanja wa Taifa, Dar 16 July 2016

    wewe shabiki wa ile timu ya nafasi ya tatu ,tulia tunanyoa hapa leo.
  2. T

    Manji na Malinzi kolikoli

    Kama ulienda kungalia mechi bure na wewe sio yanga au mtanzania anaependa nchi kwanza heri unyamaze tuu kwa sababu inaonekana una chuki kwa yanga na sisi tutakusamehe.
  3. T

    Klabu ya Simba ililipishwa gharama za uharibifu wa viti uwanja wa taifa kwanini Yanga wasamehewe?

    unawaeleza wenye nafasi ya tatu kwa miaka 4 sasa? hawataelewa kwa sababu wamekula vumbi mno sasa hata hawaoni u hata uwanja wa taifa sasa unafikiri watajua wapi Algeri au Misri ?
  4. T

    Yanga sio ya Taifa si ulisema Hansi ?

    Hansi si ulisema Yanga sio Timu ya taifa sasa wametia aibu wipi taifa?
  5. T

    Haruna Niyonzima awe fundisho kwa wengine

    Mara harusi ,mara timu ya taifa kwani yanga ilikuajiri sio kitu ?nenda bwana tutaleta mwingine mzuriiii zaidi.
  6. T

    Haruna Niyonzima awe fundisho kwa wengine

    Nenda azam hela nzuri tuu,lakini heshima yako imeondoka mzee.
  7. T

    Ni kwanini Yanga haipo kwenye Ranks ya Team kubwa za Afrika?

    hawa walioko kwenye ranks za timu kubwa afrika kutoka tza ziko wapi kwa sasa ? Afadhali hata yanga alifikia 16 bora na sasa bingwa .yanga oyeee.
  8. T

    Simba, Azam ndoa ya kijakazi

    yes umenena na wanasimba walifurahi sana kwa walichokifanya viongozi wao haya sasa wote wameondoka.
  9. T

    Ni kwanini Yanga haipo kwenye Ranks ya Team kubwa za Afrika?

    mbona inakuuma sana yanga kukosekana kweye listi?,yanga inajulikana Afrika nzima ,kwa hiyo hizo listi zinasaidia nini? hebu tusubiri kagame na klabu bingwa ,wengine msubirini mapinduzi.
  10. T

    Hamis Kiiza 'Diego' amwaga wino Simba!

    Kiiza Karibu Sana Tanzania na Simba lakini UsiTambe sana Magazetini.
  11. T

    Nisaidieni kupanga kikosi cha Simba

    sema tuu si wewe ni mwandishi wa hii nakala ukisema 6-0 au 7-0 sawa .
  12. T

    Kocha wa Taifa Stars afungishwa virago

    Zanzibar ndio wanataka uhuru kutoka Tanganyika kwa muda mrefu sasa ila huyu kaka tanganyika ndio anambania.
  13. T

    NOOIJ ni kama wenzake tu

    you are right man,tunashindwaje kuunda timu ya pili ya taifa iwe chini ya makocha wazando? mwanbusi ,shime ,mkwasa tunao watu kibao lakini timu inachaguliwa wiki moja kabla ya mashindano kweli tutaweza?.wachezaji wanachaguliwa kuunda taifa stars hata namba kwenye timu zao hawana .....nacheeekaaaaaa.
Back
Top Bottom