Kama ulienda kungalia mechi bure na wewe sio yanga au mtanzania anaependa nchi kwanza heri unyamaze tuu kwa sababu inaonekana una chuki kwa yanga na sisi tutakusamehe.
unawaeleza wenye nafasi ya tatu kwa miaka 4 sasa? hawataelewa kwa sababu wamekula vumbi mno sasa hata hawaoni u hata uwanja wa taifa sasa unafikiri watajua wapi Algeri au Misri ?
mbona inakuuma sana yanga kukosekana kweye listi?,yanga inajulikana Afrika nzima ,kwa hiyo hizo listi zinasaidia nini? hebu tusubiri kagame na klabu bingwa ,wengine msubirini mapinduzi.
you are right man,tunashindwaje kuunda timu ya pili ya taifa iwe chini ya makocha wazando? mwanbusi ,shime ,mkwasa tunao watu kibao lakini timu inachaguliwa wiki moja kabla ya mashindano kweli tutaweza?.wachezaji wanachaguliwa kuunda taifa stars hata namba kwenye timu zao hawana .....nacheeekaaaaaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.