you are right man,tunashindwaje kuunda timu ya pili ya taifa iwe chini ya makocha wazando? mwanbusi ,shime ,mkwasa tunao watu kibao lakini timu inachaguliwa wiki moja kabla ya mashindano kweli tutaweza?.wachezaji wanachaguliwa kuunda taifa stars hata namba kwenye timu zao hawana .....nacheeekaaaaaa.