Waende bar maengineer na magari Yao binafsi, na tunashauri magari hayo yaendeshwe na nadereva tena wenye ujuzi.hii Ni kuchezea Mali za umma.katibu mkuuProf kitilia, hii unaijua,
Kuna land cruiser moja ya bodi ya maji losaa Kia,kila siku tunaikuta imepakiwa kwenye bar mjini hai,iwe usiku iwe asubuhi,iwe mchana iwe siku za sikukuu,swali gari Hilo Ni la mtu binafsi ? He kama Ni la bodi ya maji hai, linatembea na kuweka kila mahali kwa idhini na kibali cha nani? He...
Waziri mkuu yuko sawa kinachotakiwa bodi ya kahawa ichunguzwe na ivunjwe ,PIA minada ya kahawaifanyike kwa Kanda kuondoa ukiritimba na kupunguza gharama.vyama vya wakulima na bank zao Ni shida.
Kuhusu uhamiaji, kupata passport,tukisema tutaitwa wachochezi,ILA ukweli halo sio shwari hata kidogo.wengine yusema vyuma vimelaza ILA huko uhamiaji sisemi neno .ova
Bodi zinazosimamia mamlaka za maji safi na maji taka wilaya ya siha na Hai,wao vyuma havijakaza, tujiulize kwanini na kwanini hawatunii efd mashine? TzRA Kilimanjaro mpoooo
Ninaunga mkono hoja 100%, PIA sio Hai Tu wilaya ya siha ,mradi WA maji magadini nao tunaomba ufuate utaratibu kulipa kwa efd, ili serikali ipate kodi na wateja wapewe bill halali tena kwa wakati.
Kati ya bank zenye utata Ni bank zinazosema au zinazonunua mazao ya wakulima mfano kahawa,Ni shidaaaaa, Kuna moja imekwenda kufungua tawi kule rombo Kilimanjaro,wakuliwa kuweni macho,bora mpeleke pesa yenu crdb au nmb.kwaherini
mh waziri mkuu, madudi yapp PIA Kilimanjaro cooperative union, kncu na Kilimanjaro cooperative bank limited,tunakuomba mh waziri mkuu ufike huku ,huku Kuna mchwa na sio madudu Tu.mungu akupe afya nje ututembelee na sisi.
Kweli hii Kilimanjaro cooperative Bank ,pamoja na kuwekwa chino ya uangalizi,ninashauri vyombo vya usalama, kufuatilia hii bank, hali sio shwari hats kidogo,ikiwa Ni pamoha na kufuatilia watumishi WA hiyo bank,pamoja na meneja aliyeko na aliyestaafu. Ninakubaliana na mwendo WA serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.