Mimi nimeota Mtangazaji mmoja maarufu hapa Tanzania amefariki dunia.
Laiti ningekuwa na namba yake ningempigia ili kumjulia hali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana mapenzi ya kweli.
Akipenda amependa
Wanatupenda sisi wanaume warefu.
Waliowengi wanajua mapenzi kunako 6×6
Ujuaji mwingi na kununanuna na visirani vyao hufanya wawe wahanga wa mapenzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wako vizuri sana kwenye 6×6.
Ni wepesi na si wavivu kitandani, kila style wanaipokea fresh tu. Usiwe mvivu ndipo utakapowafaidi penzi lao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona amekutelekeza na una mtoto wake, ni muda wa kujitafakari.
Hasa kama hana hulka ya uhuni, basi utakuwa na mapungufu kwake. Mwanaume akichukia jambo huwa harudi nyuma na hawezi kuishi na jambo ambalo anajua litamtesa maisha yake yote.
Amini, huna nafasi kwake kabisa. Anaogopa kukueleza tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.