Pole sana Mkuu
Mie bado sijaelewa Hawa NSSF wanaposema kama hujafika 55yrs na hujachangia miezi 180
Fao la kurithi haliwahusu familia yako , sasa ile michango yangu ndio inapotea au ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuelimishwa .
Nimecheck website ya NSSF, nikaona fao la Urithi linahusu wale wategemezi wa mwanachama wa NSsF ayechangia miaka15 au yuko kwenye fao la ulemavu, pia awe amefikia angalao miaka 55
Je?
Kama s mwanachama kuchangia miaka ,mfano 9 (miezi108) akafariki akiwa na umri wa miaka...
Nafikiri issue sio dini hapa , ni kwa kuwa hii biashara imeshamiri zaidi Pwani(Tanga,Zanzibar, Dar) ampopo kwa sehemu kubwa % ya waislamu ni kubwa zaidi ya wakristo
Tuache ujinga tujadili issue
"Urais sio kazi ya kukimbilia , urais ni mzigo, Ukiona mtu anang'angania kwenda Ikulu tena akitumia pesa nyingi ni wakuogopa kama ukoma, pale Ikulu hakuna biashara atazirudishaje pesa zake?"
Nimekuwa nikijiuliza ni kwanini washabiki wa Lowassa wanadhani awamu hii imeshindwa kufanya maamuzi Magumu? Je ni yapi hayo?
Mimi naamini Rais aliyeingizwaa madarakani Kwa Marafiki zake kuwekeza pesa nyingi kwa vyovyote vile lazima atashindwa kufanya maamuzi sahihi nyakati fulani haswa Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.