Ni siasa nyepesi tulihitaji mtu wa kutuvusha mtu sahihi wa sasa ni rwakas itakuchukua muda kuamini hilo tofauti na jumatatu.
Ni lini uliwahi kuona kipara anaomba kula kupitia sms kwa kutumia mtandao maana yake nini
MBINYO WA KIMAGHARIBI (RWAKAS)
Nadhani hujui wana wabukoba tueleze kwanini asishinde na kipara ashinde, UKAWA wanazo kata 11 kati ya 14 tiyari kabla ya uchaguzi.Kahororo,bilele,rwamishenye,ijuganyondo,migera,kashai,kibeta,kitendagulo,kagondo,buhembe,miembeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.