Hongera sana kwa Uzi ulioshiba. ..hivi ndo vitu inabidi viwe vinaletwa humu sio habari za kujadili matukio. Kwa nchi zetu( waafrika) tuna safari ndefu sana maana hatuwezi fanikiwa kwa kukutegemea mipango ya miaka mitano mitano...hatuna mikakati ya miaka mirefu ambayo inasimamiwa kisheria sasa...
Nadhani waziri atakua anasababu za kutosha kumuweka pembeni huyo mkurugenzi...ila
Kwenye sekta hii ya maji kuna elimu kubwa sana inabidi wananchi na mashirika ya umma wapewe. Wanajua umuhimu wa maji Ila hawajui wajibu wao wa kulipa ankara za maji ambayo inapelekea mamlaka nyingi kushindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.