Recent content by Tanki

  1. Tanki

    ( PICHA ) Friji aina ya BOSS mpyaaa inauzwa

    Hilo box nilitupa mkuu
  2. Tanki

    ( PICHA ) Friji aina ya BOSS mpyaaa inauzwa

    Tangu itoke dukani Ina miezi minne. Na imekuwa ikitumika nyumbani. Haina hata mkwaruzo. Haina kipengere chochote. Ni milango miwili, Inapooza na kugandisha Bei 300,000 Contact : 0785214599 ( Dar es salaam - Kigogo round about )
  3. Tanki

    " SISI sio SISI "

    Leo, nitawasimulia hadithi ambayo hamkuwahi kuhadithia. Kama ilikuwa ni siri basi nimeshindwa kuitunza🙏. ************************************ Kumi na moja jioni majira, ilionekana gari mpya, nyeupe, aina ya Harrier toleo jipya ikikatiza kwenye mitaa ya Tegeta. Baadaye gari ile...
  4. Tanki

    Sikilizeni hii audio. Kisha nipeni ushauri. Je, nafaa kuwa muhadithiaji wa hadithi au simulizi?

    Ninaplan ya kuanza kujirecord nikisimulia hadithi au matukio. Hii audio hapa nilikuwa natest tu nione ninavyosikika. Nimeamua kushare na nyinyi mnichane nafaa ?? Niongeze nini??? Nipunguzie nini???? Note: NIMERECORD KWA SIMU, na EDITING ni simu pia.
  5. Tanki

    Nahitaji mtu aliyepo Zanzibar anayeuza dagaa nyama. Unamjua?

    Wapo wanaotoka Zanzibar pia na Bei ya wa Zanzibar kidogo ni rafiki.
  6. Tanki

    Nahitaji mtu aliyepo Zanzibar anayeuza dagaa nyama. Unamjua?

    Habari wakuu! Nimeelekezwa na mtu kwamba Zanzibar (visiwani) dagaa nyama wanauzwa kwa kipimo cha ndoo kubwa / ndoo ndogo na kuendelea. Please! Nahitaji connection ya muuzaji hao dagaa aliyeko huko visiwani. Mimi nipo Dar es salaam. Mwenye namba za huyo mtu naomba. Ahsante
  7. Tanki

    Mwenye connection ya kazi ya Storekeeper au kazi yoyote na popote anisaidie

    Habari wakuu! Nina ujuzi wa maswala ya store / Warehouse. Niliwahi kuwa stock controller kwenye deport Fulani ya kuuza vinywaji Kwa zaidi ya miaka mitatu. Nilikuwa na deal na operation za pale deport, pia mahesabu ya bidhaa zinazoingia na zinazotoka na kuangalia stock kama ipo kwenye uwiano...
  8. Tanki

    Nauza Sabufa yangu. Ni mpya

    Nipatie namba Yako mkuu
  9. Tanki

    Nauza Sabufa yangu. Ni mpya

    Mkuu, 50 ni hela nyingi sana, ila kuuza Kwa pesa hiyo hapana.
  10. Tanki

    Nauza Sabufa yangu. Ni mpya

    🔊 MziKi mNeNE 🔊 *Sabufa ni mpya, Ina wiki tatu tu tangu itoke dukani. Ina njia mbili za umeme, AC na DC, yaani inapiga kazi hata kwenye solar au betri tu ya gari au pikipiki. Ina Bluetooth FM Radio USB AUX Memory Card NOTE: Ipo na box lake na kila kitu chake, yaani waya zote na remote yake...
  11. Tanki

    Kwa Dar es salaam. Ni wapi naweza kwenda kusoma kozi ya Store keeping japo Nipatie Certificate tu.

    Kaka, sasa mtu anayetaka kuwa store keeper ujuzi ataupata wapi???
  12. Tanki

    Kwa Dar es salaam. Ni wapi naweza kwenda kusoma kozi ya Store keeping japo Nipatie Certificate tu.

    Nitashukuru zaidi kama utaniambia na Bei ya hiyo kozi na muda wake hadi kozi kuisha. Natanguliza shukrani
  13. Tanki

    Inahitajika TV ya kununua kwa bei ya jioni

    Habari, Mimi nina hii Bufa nauza. Ni mpya. Tangu niitoe dukani Ina wiki mbili tu. Ipo na Kila kitu chake. Bei ni 90,000 kwakuwa Nina shida. Ahsante. Simu 0676558714
Back
Top Bottom