Recent content by Tango73

  1. Tango73

    Trump anachofanya kuweka ngumu kupata visa ya Marekani na kuwasaka waamiaji haramu kupitia ICE yuko sahihi

    Sio unyama ni kuwa wakati wa open boder policy chini ya demokratic wahindi na wachina walitumia mwanya huo kuongeza safari za ndege zao mexico na kuleta kila siku raia wengi sana wavuke mpaka na kuomba political asylum.wahindi wengi sana waliuza kila kitu huko kwao nyumba mashamba na rasilimali...
  2. Tango73

    Trump anachofanya kuweka ngumu kupata visa ya Marekani na kuwasaka waamiaji haramu kupitia ICE yuko sahihi

    mhamiaji hajajjenga marekani bali kazamia kuganga njaa tuu.mmarekani aliisha ukata sana kabla ya vita kuu ya pili na aliikomboa ulaya kwa nguvu zake za uchumi na kijeshi. wahindi na wachina na waarabu ndio wanaotuharibia maisha yetu huku nje ya nchi. mwaka jana wakati wa open boder policy mchina...
  3. Tango73

    CCM kuna utoto mwingi sana

    CCM kuna wazee wa hekima na wataalam wa sheria kama mheshimiwa msekwa, mheshimia warioba, mheshimiwa philipo mangula yupo jaji Lubuva, yupo jaji chande, ukiwaweka cardinali Lugambwa na muft shehe mkuu wa bakwata tanzania mlete john heche na william nchimbi. hawa wote wakikaa pamoja na kujadili...
  4. Tango73

    Jeshi la polisi linachunguza tuhuma za kuhusika askari katika kupotea kwa Mdude Nyagali

    soma kitabu rise and fall of socialism utajua yote haya.
  5. Tango73

    Mzee Msekwa: Msafara wa Nyerere ulikuwa na Magari Matatu tu na hakupenda Ving'ora tofauti na ilivyo sasa

    kila mtu na zama zake. kama kuna misururu mingi klakini hakuna chama chashika hatamu. kama kuna misururu midogo lakini kulikuwa na chama chashika hatamu.sasa ni juu yako unapenda zama zipi.
  6. Tango73

    Mdude Nyagali Amepatikana?

    soma kitabu kiitwacho rise and fall of socialism,.
  7. Tango73

    Wananchi wa Mbeya wana utofauti mkubwa sana na Watanzania wengine

    mikoa radical tanzania ni mitatu , mbeya, kilimanjaro na musoma. hii mikoa naivulia kofia kwa kuwa na msimamo mkali wa kisiasa na uzarendo.hawadanganyiki wala kuwa machawa. piga mahesabu machawa wavumao wametoka mikoa gani. utalia machozi!
  8. Tango73

    Wananchi wa Mbeya wana utofauti mkubwa sana na Watanzania wengine

    wangeenda katavi mbugani, serengeti mikumi na ngorongoro labda wangepata fununu.
  9. Tango73

    Mwanzoni tuliona ni ugonjwa wa waarabu pekee.Hatimae umewapata watu dunia nzima

    waambie binamu zako hamas waaachie mateka utaona dunia itakavyo watetea. kama wamenyonda na dunia itanyonda!
  10. Tango73

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aibwatukia Qatar

    ku,buka mwarabu aliisha ichukua dunia na kuinyamazisha ulaya yote. Iran kapiganisha vita nne huko yemen, hosbollah vs israel, hamas vs israel lakini dunia yote ilikaa kimyaa kama hawajui kitu. sasa kaja raisi mpya marekani amabye tangia israel iingie upya Gaza husikii kelele kutoka ulaya...
  11. Tango73

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aibwatukia Qatar

    hakuna mwarabu mwema kwa wana wa Israel.iwe misri iwe qatar wote hao ni wale wale wachekao kwa kicheko muisrael akifa na kulia kwa matalumbeta mwarabu mpalestina akiuwawa. sasa hivi kaja kiongozi bora wa duniahuko marekani ambaye yeye mwenyewe anaipenda israel na watu wake atahakikisha israel...
  12. Tango73

    Mamia ya wanafunzi na wahitimu wapya wamefunguliwa mashitaka na pia kuondolewa visa zao tangu Trump alipoingia madarakani

    mbona hawa watu hawaandamani miili ya watanzania waliouwawa na magaidi ya hamas eirudishwe nchini Tanganyika?
  13. Tango73

    Mamia ya wanafunzi na wahitimu wapya wamefunguliwa mashitaka na pia kuondolewa visa zao tangu Trump alipoingia madarakani

    ukifika nchi za watu unatakiwa ujiheshimu sana . usithubutu kujiunga na makundi ya kiarabu yenye chuki chuki dhidi ya israel utaishia pabbaya!
  14. Tango73

    Mamia ya wanafunzi na wahitimu wapya wamefunguliwa mashitaka na pia kuondolewa visa zao tangu Trump alipoingia madarakani

    wewe kama hauna nduguyo aliyeathirika huko basi chukua jembe ukalime. Hamas kaua watu kinyama Israel na kateka wengi. mabilionaire wenye roho ya hitler wananunua vyombo vyote vya habari duniani ili kuonesha hamas anaonewa badala ya kuhuzunikia isrel. hawa wanafunzi nao wananunuliwa waandamane...
Back
Top Bottom