Aithee post yako imenifanya nilog in. karibu sana kaka,
user name yangu inajibu maswali yako. Raha zinawenyewe, ninamashaka kama huko dar ulikuwa unapata raha.
tanga tanga tanga, acha kabisa. nisiseme mengi hapa, wajuzi wanajua
Waziri anayehusika na madini prof. s muhongo kapotoka sana, anashambulia makundi ya watz bila hata chembe ya busara. Alianza kule mlimani city dhidi ya wadau wa madini/nishati, akaja kulishambulia 'shirikisho' la sekta binafsi nchini na karibuni hapa kawashambulia viongozi wa dini.
Natoa wito...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.