Wadau mnakaribishwa kwenye haya mafunzo muhimu kwa ajili ya kuongeza thamani kwenye bidhaa zinazozalishwa nchini ili kuendana na ushindani wa masoko ya ndani na ya kimataifa.
Kwa taarifa zaidi tafadhali wasiliana nasi kwa: hello@zana.co.
Karibuni sana.
Wewe mbeba maboksi kwanini usirudi kwenu Unaishi kwa tabu huko wakati unaweza kupata kura zaidi ya 1400 ukaishi real life kuliko fake life ya huko uliko?
Jamaa unashindia mikate na miguu na vipapatio vya Kuku ndio wajiona mjanja? You are a failure bro!!
Hujakosea kujiita NYANI, A. K. A ape; an ape is still evolutionary process. By the time the evolutionary time turns you into a human being, your behavior will correspond with that of human beings (you will stop to think and act as an ape).
Only the beings can see the impact of sixteen hundred...
Huyu PAMOJA na team yake hawana jipya.
Katika moja ya mikakati Yao ni kuwafanya wananchi walipe kodi voluntarily kwa kutoa elimu Kwa mlipakodi.
Kinachoshangaza sasa ni kwamba wamekuwa Kama wanyang'anyi; hawatumii rational criteria kujadiliana watu kodi; Bali wanatumia wivu, chuki na Sifa...
Kwani Mtumishi wa umma na familia yake wanaishi humo kwenye ofisi au wanaishi mtaani?
Tumia akili Walau kidogo!!! Chama chenu hakijui Hata inflation inasababishwa na nini na madhara yake kiuchumi? Pathetic!!!!
Uliibiwa na nani wewe jamaa?
Mtu akimkamata mwizi huwa anampeleka wapi? Si chama chenu kimekuwa kikiongoza nchi tangu Uhuru; Mbona hao mnaodai wamewaibia hatujaona mkifanya jitihada zozote za kuwadhibiti?
Jeshi si lenu, majaji mwateua ninyi, bajeti si mwashikilia ninyi? Sasa unalialia nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.