Recent content by Tanganyika Mpya

  1. T

    Mkoa wa Kilimanjaro ndio Mkoa pekee ambao Wabunge wake Elimu ya chini Wana shahada/degree. Bila Degree Sahau kuhusu Ubunge huko Kilimanjaro

    https://www.jamiiforums.com/threads/pwani-cv-za-wabunge-mwaka-2020-2025-mbunge-wako-ametimiza-ahadi-zake.2286777/
  2. T

    Mkoa wa Kilimanjaro ndio Mkoa pekee ambao Wabunge wake Elimu ya chini Wana shahada/degree. Bila Degree Sahau kuhusu Ubunge huko Kilimanjaro

    Mkoa wa pwani vipi? Songwe na mbeya? Singida na tabora? Una taarifa za kigoma pia? https://www.jamiiforums.com/threads/pwani-cv-za-wabunge-mwaka-2020-2025-mbunge-wako-ametimiza-ahadi-zake.2286777/...
  3. T

    Katika mataifa yenye maadili suala la utata wa elimu za wabunge wengi ni skendo kubwa ya kutikisa nchi

    Taasisi zenyewe zipo na zinaona, kama kungekuwa na tatizo wangeweza kukanusha kuwa hakuna mwanafunzi kwa jina hilo aliyesoma chuoni ama katika taasisi yao
  4. T

    Katika mataifa yenye maadili suala la utata wa elimu za wabunge wengi ni skendo kubwa ya kutikisa nchi

    Ni kweli. Ila nimezungumzia kwa ujumla sio kwa elimu ya wabunge.
  5. T

    Katika mataifa yenye maadili suala la utata wa elimu za wabunge wengi ni skendo kubwa ya kutikisa nchi

    Tuipende nchi yetu, tudumishe umoja wetu. Amani yetu tuilinde
  6. T

    Katika mataifa yenye maadili suala la utata wa elimu za wabunge wengi ni skendo kubwa ya kutikisa nchi

    Wananchi ndio wenye nchi au serikali. Ni ngumu kuwa bagua katika nafasi za kiuongozi za kuchaguliwa kisa elimu zao wakati wao ndio wenye nchi yao Ndio maana kigezo cha kujua kusoma na kuandika huwa kina tumika kama sehemu ya kuwa husisha wote katika nyanja za uongozi kuanzia mwenyekiti wa...
  7. T

    Katika mataifa yenye maadili suala la utata wa elimu za wabunge wengi ni skendo kubwa ya kutikisa nchi

    Mkuu kwa mtindo huu wa kukebei, unahisi Kuna majibu utapewa? Itaonekana ni kama mzaha hata kama upo serious.
  8. T

    Katika mataifa yenye maadili suala la utata wa elimu za wabunge wengi ni skendo kubwa ya kutikisa nchi

    Umesema vizuri sana mkuu, pia bila kusahau tuna weza kujilidhisha kwa taarifa hizo. Uzuri taarifa zipo na vyuo walivyosoma, unaweza kufika kupata taarifa sahihi za mwanafunzi husika.
  9. T

    Katika mataifa yenye maadili suala la utata wa elimu za wabunge wengi ni skendo kubwa ya kutikisa nchi

    Elimu ya mtu iwe ya darasa la saba au kidato cha nne ama profesa, itabaki ni elimu yake wala utata haupo Utata utakuwepo kaka elimu aliyojaza haipo yani Hana elimu hiyo. Ndio hoja ilipo kama sitajoka nje ya mada
  10. T

    Katika mataifa yenye maadili suala la utata wa elimu za wabunge wengi ni skendo kubwa ya kutikisa nchi

    Sidhani kama kuna utata wa elimu ya wabunge wetu, ni vile hatuna ufahamu wa mambo kwa kina na kupenda hoja za kubomoa zaidi kuliko kujenga. Ni kama tuna penda kukomoana, tatizo laweza kuwa kwa mtaalam wa IT/ICT lakini ikaonekana shida ni kwa Mbunge. Kuna mbunge mmoja elimu yake amesoma mwaka 0...
  11. T

    Je, huu ni mgogoro wa kweli au maigizo ya kisiasa?

    Yote ni mawazo ya hisia tu. Tuendelee kuipenda nchi yetu na kuiombea mema zaidi kuliko kuiombea mabaya.
  12. T

    Kocha Fadlu kajitahidi sana. Lakini Simba itafute kocha

    Kawekeza tarehe 15.06.2025
  13. T

    KERO Vyoo vya treni ya SGR (Ordinary) vimeanza kuharibika, hakuna hatua zinazochukuliwa

    Watatumiaji ni tatizo, tumeshuhudia ktk miundombinu kama viwanja vya michezo. Tumekuwa watu wa kuharibu, ustaarab ni janga kubwa na lina tutesa huku tukitafuta wakumtupia lawama
  14. T

    Elon Musk aondoka na kujitenganisha na Serikali ya Donald Trump

    Yawezekana mambo yaliharibika pale SA na USA walivyokutana
  15. T

    Huwa siamini kama vyama vya Siasa vinategemea Ruzuku kujiendesha

    Una bagaza kiswahili mkuu, umekuwa mkenya.
Back
Top Bottom