Belo unashangaa nyumba yalaki tatu kukosa parking?we vukabarabara kidogo tu toka hapo savei opposite na mliman city barabara ya samnujoma yaan sinza A na uone nyumba yalaki tatu ilivyo.ni chumba kimoja master sebule na jiko.ukiwa na gari utajijua mwenyewe.
ukweli gharama ya nyumba inawaumiza...
sisi sio kama chadema wengne waliotuma msg kibao eti tuwahi mahakamani na mabango nauli tutalipiwa.upuuzi mtupu.Nakuombea Zitto ushinde haki dhidi ya dhuluma
Nyani Ngabu mbona usafi ni mwepesi sana na unawezekana tu.tatizo wadada wengi wanajisahau.wala haihitaji mambo ya kizungu kujiweka safi,yaani kuna vitu asilia tu mfano barafu kwa kuboreshea papuchi na kuondoa harufu.Pia kuna pozi za kuzuia harufu ambazo inatakiwa mtoto wa kike azijue yaani wala...
Nakuelewa sana Sixgates ila pia nawaelewa zaidi hao wanaojiita Team zitto.watu wengi wameumizwa sana na wanajua mengi ambayo Zitto ameshindwa kuyasemea japo anayajua ikiwemo suala la ukanda hivyo baada ya kuona maonevu yamezidi wameamua kusimama kidete kutetea ukweli ikiwemo kuwafahamisha...
Nyakarungu nakuelewa sana.mtu asiyeijua chadema ataona unaropoka lakini sasa hivi lazima ukweli ujulikane na hakika Haki na Ukweli lazima vitashinda.Yaani watu wote waliokifia chama leo ni maluki kisa tu unasema ukweli hivyo automatically huwezi kuwa kambi ya Mbowe.Mimi naamini katika nguvu ya...
Noted Mkuu
Wewe acha kabisa kunyanyapaa jinsia ya kike kwa kuandika kuwa wanatumika.
Acha kabisa wewe, maana hata wewe ni jinsia hiyo hiyo pamoja na wenzako wengine akina Simiyu Yetu na Mamndenyi.
umeona eeh!Ben Kavurugwa tangu zamani na kavurugika zaidi ya waliomvuruga.toka nilivyomfahamu Ben nilimuona hamnazo na nikamshusha tham,ani tangu zamani.Ben sio wa kuaminika anatumika kotekote kwenye maslahi.anasiri zake nyingi tu na zitakuwa wazi mwakani nadhani.tuendelee kusubiri na ataumbuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.