Tanzania, nchi ya uchumi wa kati, miongoni mwa nchi zinazoendelea kwa kasi barani Africa, yenye wananchi watiifu kwenye ulipaji kodi, inayoongozwa na serikali inayohamasisha bihashara na uwekezaji ila inakwamishwa na viongozi wachache walio kwenye sekta nyeti ikiwemo UHAMIAJI.
ZaIdi ya miezi...
Usiombe yakukute 🤔, ila SERIKALI inabidi ifanye maamuzi sahihi kuhusu ili swala ,
1. Kutengua aya maamuzi ya kukurupuka.
2. Kuiwajibisha hiyo seneti uchwara hususani bwana costa titch.
3. Chuo kiwe na utaratibu mzuri wa kutoa transcript kwa wahitimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.