Nyota zipo na Kila mtoto huzaliwa na nyota
Shida unakuja kutokana na technology watu kidog hii elimu wameiyeka upaande Ila mzungu anaitumia /wahindi na baadhi ya nchi za Africa/hivi unajua India/na Philippines / nchi hizi Kuna vyuo vya kusoma uchawi ✍️ na ukihitumu unapewa na vyeti lakini...
Nakuongezea nahii Ila usije ukaniita mchawi. Kama jina lako said Basi huenda unajishukhulisha na biashara na Kama hufanyi Basi ukidili Mambo ya biashara unafika mbali na ndio mafanikio ya nyota yako yalipo au kinyume na hivyoo uwongozi wa kampuni au secta binafsi inasimama Kama msidizi utapata...
Matajiri wengi ni wasiri viburi hata asikini wanavyo chunguza Sana watu wenye tabia ya usiri wale wakimya ndio matajiri hata huyo billgett sio muongeaji Sana mtu mkinya angalia Sana watu hao hata kwenye jamii yako/ hata wewe ukitaka kupiga hatua usitangaze Mambo kimy kimya unakuja kuibuka tu...
Legas
Legacy Nini tuanzie hapo Kwanza legacy nikua na uthubutu katika nafsi ya uwongozi legacy haiji kwa kusifia mitano tena laaa legacy ni kujitia kujinyima kukubali madhaigu yako na kuondoa woga na kuifanya maamuzi kwa lengo la kuinua nchi kiuvhumi iwe miundo mbinu au mahusiano mazuri na...
😂😂😂😂😂
Mimi mzanzibar haswaa 😂. Kama ndoa Bora nioe mbongo tuuu kuliko mzanzibar mwezangu nazijua tanmbia zao
Wewe ndo umeongea Sasa umeona 😂
😂😂😂Mimi sideti Tena na mwanamke wadini. Kanisani /mskitini miksa anakibana hakupi
Ukiingia kwenye mahusiano na mwanamke anaejifanya Sheikha ni mateso tu mkionana ukitaka kubusu anakwambia sjazoea ukitaka kumshika au kumkumbatia hatujaowana bado shida Ina kuja pale unapomwita geto anaanza kukupa hadithi na methali mwisho anakwambia unataka tuzini yaani shida tupu mpaka...
Nitafanya yote lakini siwezi kuishi bila mwanamke Tena awe mwembamba na nitahonga vyote Ila kwenye mahusiano hayo lazima nipate Ile hakula nahisi kua wengi wanaoingia kwenye mahusiano hawajui lengo / lengo ni kufanya tendo
Kutoana hamu/ unaingia kwenye mahusiano na Dem then hatapaja hugusi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.