Recent content by TAKE NOTE

  1. T

    LIGI YA ITALY INARUDISHA UBORA WAKE

    Baada ya miaka ya hivi karibuni ligi ya italy kupoteza ubora kama miaka ya nyuma ambapo timu za AC milan na juventus kuwa wababe wa ligi za ulaya pamoja na miamba ya Inter milan ligi hii ilipitia changamoto nyingi hadi kupoteza ushindani kwenye michuano ya ulaya na ubabe huo ukihamia katika nchi...
  2. T

    Azam kuonesha Michuano ya AFCON kupitia chaneli mpya ya UTV

    yaani mm mwenyewe nashindwa kuelewa hata vipindi vyake havina ushawishi muda wote wanaonyesha vitu vya ajabu yani hadi SEND OFF??????
  3. T

    Azam kuonesha Michuano ya AFCON kupitia chaneli mpya ya UTV

    mm n mm naamini ni wamekuwa wagumu tu ila pia tukubali kwenye hili serikali inahusika sielewi startimes wao wanavyo onyesha kama ni bure
  4. T

    Azam kuonesha Michuano ya AFCON kupitia chaneli mpya ya UTV

    wamerehusiwa ila wameambiwa wazitenge na huduma za vifurushi vyao kwahyo wao wamesema watachukua miezi 7 kujenga mitambo ya kurusha channel hizo lakini naamini hizi ni siasa za majukwaani kama wameleta hii UTV ambayo ina cover taarifa za habari na burudani hizo local channel zingine siyo miezi 7...
  5. T

    Azam kuonesha Michuano ya AFCON kupitia chaneli mpya ya UTV

    TBC ipo kisiasa zaidi ukifuatilia vipindi vyake yani mda wote ni vya kisiasa tu
  6. T

    Azam kuonesha Michuano ya AFCON kupitia chaneli mpya ya UTV

    Baada ya maneno mengi kutoka kwa wateja wa king'amuzi cha AZAM Kutokana na ubovu wa huduma zao baada ya kuzimwa kwa channel za FTA siku ya tarehe 15 wamezindua channel mpya ya UTV no 108 ambayo itakidhi vigezo vya ndani kama FTA channel yao. Channel hii itaonyesha taarifa ya habari kuanzia...
  7. T

    Azam wanao andaa vipindi wanafeli sana

    ishu ni kwamba jinsi wanavyo fanya hata wanao vumilia watachoka maana hamna jipya
  8. T

    Azam wanao andaa vipindi wanafeli sana

    siyo kulazimishwa ishu ni Kwamba huwezi kulipia kila king'amuzi maana muhimu ni ubora sivyo kujaza kila king'amuzi
  9. T

    Azam wanao andaa vipindi wanafeli sana

    Saiv labda uwe mfatiliaji wa SULTAN la sivyo chenga tupu
  10. T

    Azam wanao andaa vipindi wanafeli sana

    Ni ukweli usiopingika king'amuzi hiki kimepoteza ubora siku hizi, yaani toka ligi zimalizike na toka local channel zifungiwe kimekosa ubora kabisa yaani mfano wa hizi channel; 1.AZAM TWO Hii channel toka iache kuonyesha taarifa ya habari masaa 24...
  11. T

    MAFANIKIO YANAPITIA NJIA MBALIMBALI.

    Wengi hupenda udaku kwakuwa hufurahisha kwa wakati huo lakini mambo ya msingi huhitaji akili kutulia ili ufikiri,wanadamu wengi walio fanikiwa ni wachache sana huweza kukaa na kutoa mbinu mbakimbali walizo tumia kufanikiwa, hii ni sababu hali ya matabaka ambayo imejijenga hawataki kuitoa Walio...
  12. T

    MAFANIKIO YANAPITIA NJIA MBALIMBALI.

    Kwanza nianze kwa kuwatakia sikukuu njema ndugu zetu wa islam, mafanikio ni ndoto ya kila mtu aliye duniani,japo mafanikio yamekuwa ni magumu kwa wengi kulingana na tamaduni,mazoea,sera za nchi,pamoja na mambo mengine mengi tu,wapo walio fanikiwa duniani kwa bahati unaweza kusema ni bahati...
Back
Top Bottom