Huyu binti ataelewa hili baada ya miaka kadhaa mbele kama tuliokuwa tunafundishwa kazi na kajitigemea kuchapwa kubanwa faida tumeziona baadae.
KWETU KUKAA NYUMBANI MWISHO NI SIKU UNAMALIZA SHULE HAIJALISHI NI WA KIKE AU WA KIUME BABA ALITUTAWANYA TUKATAFUTE MAISHA LEO TUNAMPENDA NA KUMUELEWA...
Hivi hakuna namna mawakala wakawa na umoja kidai haki yao sbb mtaji ni wako angalau basi kwenye kila kato upate asilimia 35 au arobaini na hawa wanaoitwa wakala mkuu waondolewe kama mashirika yalivyowaondoa wenye nyumba wasioishi la sivyo bora kufanya kazi nyingine yaani 5000 mtu anakatwa ww...
Tatizo wanawake hii issue wanaichukulia tofauti nyumbani tunapokosa dada wa kazi hali huwa ngumu sana hata unyumba huwa unasumbua sbb wife akitoka kazini jumlisha kazi za nyumbani anakuwa hoi.
Lingine kuna lile la ubahili wakina mama wakishamlipa dada hela yake wanabana sana hakuna tip wala nn...
Kuna siku nipo ofisini jamaa ananipigia simu namuelekeza nikajua salam tu kufika yupo na begi anetoka mkoa kaja nimtafutie kibarua ikabidi tuende home kufika sasa ni story za utotoni tu shuleni nk alipobaki home mm nikienda kazini anageuka kuwa baba ni amri kama nn wiki haikuisha nikamjia na...
Ungejua hakuna mgeni anakuja kutembea au kuekeza bila taarifa kamili za nchi anayokwenda au unazani wageni ni kama abiria wa daladala ubungo unawapigia debe waingie kwenye daladala hata kama halina mafuta
Unajua iyo miamala anayofanya hela inatoka wapi na kwenda wapi? Unajua kwa uzuri wake kuna mtu jashamwamini kumpa milioni mbili tatu ww hata iyo simu ya pesa hujawai kumpa aingize namba
Kuna jamaa mmoja aliniambia alifikiria ukinunua gari zuri kuanzia milioni 70 unapewa na demu mzuri wa kukaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.