Na hili pia liwe fundisho kwa wengine hapa tuwe na tabia za kusifia watu kwa mazuri yao (au kuonya kwa mabaya yao) kabla hawajaaga dunia. Unaonaje Pascal Mayalla?
Comparatively, Congo DRC ni mshirika muhimu kiuchumi kuliko Rwanda. Hivyo Congo DRC tulivu ni muhimu kwa maslahi ya Tanzania kiuchumi na kijamii. Kwa Rwanda ni kinyume chake. Congo DRC yenye machafuko ni muafaka kwa Rwanda kufanya looting.
Ukweli una tabia ya kukawia kufika unakokwenda lakini lazima ufike tu..Nimemkumbuka ndugu yangu Mohamed Mtoi
Shame on CCM, shame on Jeshi la Polisi, shame on John Tendwa
Say NO to mnafiki Sitta. Kama anataka kuing'oa CCM ajitoe mapema na sio asubiri yeye au kundi lake kutoswa ndo ajifanye kuikataa CCM. CCM haikubaliki toka kitambo, hivyo afanye maamuzi mapema kwa kuchagua upande.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.