Recent content by Tajiri mkopeshaji

  1. T

    Nimeamua kutumia mbinu hii kukwepa kodi na tozo kwa biashara yangu mpya.

    Labda hyo biashara huna mshindani..kama yupo umekwisha atawaleta t.r.a mpaka chumbani kwako🤣🤣🤣🤣
  2. T

    Unafanya dili gani linalokupa pesa? Kwa wanaume wapambanaji tu.

    Nakopesha mikopo nachukua riba za wake zenu na pia nauza unga!
  3. T

    TANZIA GE2025 Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia

    Hakuna amani atayoipata uyu kwa matendo maovu aliowafanyia wengine!!!
  4. T

    Ipi ni njia sahihi ya kufanya biashara na mwanamke?? Kumfungulia biashara yake au Biashara yako yeye ndo asimamie?

    Hello.. Njia nzuri ni wewe fungua biashara na mwajiri mke wako katika hiyo biashara!!asiwe na maamuzi ya mwisho kiuhalisia ila kinadharia mfanye ajione yeye ndio mmiliki. Ukiweza ilo utafanikiwa.. wanawake ni viumbe wazuri sana kiutendaji chini ya mwanaume.
  5. T

    Tetesi: Kikao cha Dharura namna na watu wa kumjibu Gwajima

    Makonda na genge lake wakishirikiana na meko walimshindwa gwaji boy..itakua huyu chura kiziwi wa visiwani?
  6. T

    Vijana msithubutu kufanya uhanaharakati uchwara mwisho wa siku unaacha mzigo kwa watoto na mke

    Wengine wamezaliwa na hzo harakati ndio hatma zao...hayo mengine sijui familia ,mke ,nk sio vipaumbele vyao.. Unawashaurije muoga wewe?????
  7. T

    Chalamila: Suala la Padri Kitima litakuwa na uwazi lakini kwa kufuata miiko ya taaluma

    Na bado unaendaga kanisani Chalamila na unamuabudu Mungu...??? inashangaza..
  8. T

    Mke wa Mdude: Tusifiche na tusisingizie mtu, waliomchukua mume wangu ni Polisi. Polisi wa Tanzania wana roho mbaya sana

    Serikali ya Tanzania inatia aibu sana...hvi hakuna wenye hekima ndani ya ccm kweli?? Mbona mamb ya aibu yanafanywa na mpo kimya!!!🙂‍↔️🙂‍↔️🙂‍↔️🙂‍↔️
  9. T

    Mpasuko na mgawanyiko wa kutisha wa CCM umewadia mwaka huu

    Dotto biteko naibu waziri mkuuu ataegombea uraisi kupitia ccm mwaka huu October 2025..stay and watch!!!!!
  10. T

    Nakubaliana na Lema, Watanzania tunazithamini Simba na Yanga, kuliko mambo ya maana!

    Wadanganyika wengi ni mandondocha..hawana akili kabisa...itachukua mda sana kwa lissu kuwakomboa kifikra..
Back
Top Bottom