Recent content by Tajiri mkopeshaji

  1. T

    JamiiForums Tanzania Mtanisamehe kwa hili

    Vijana wa millennia mkuje hapa..kuna ujumbe wenu..for sure ni aibu 35+ kupanda madaladala, waachieni hao gen z..nunueni hata baiskeli basi kama mmeshindwa magari.
  2. T

    JamiiForums Tanzania Unatakiwa Kuelewa Au Kufahamu Kuwa Pesa Ya Halali Hapa Duniani Haipo

    Mifumo ya Sheria ya nchi ya Tanzania hairuhusu mtu kuwa tajiri kwa pesa halali..labda kama wewe hufanyi biashara.
  3. T

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kutumia mbinu hii kukwepa kodi na tozo kwa biashara yangu mpya.

    Labda hyo biashara huna mshindani..kama yupo umekwisha atawaleta t.r.a mpaka chumbani kwako🤣🤣🤣🤣
  4. T

    JamiiForums Tanzania Unafanya dili gani linalokupa pesa? Kwa wanaume wapambanaji tu.

    Nakopesha mikopo nachukua riba za wake zenu na pia nauza unga!
  5. T

    JamiiForums Tanzania Unapotaka kuhamia sehemu au kununua makazi, kuna umuhimu wa kuangalia aina ya majirani?

    Siwez ishi uswailini..Bora nirudi kijijini kulima!
  6. T

    JamiiForums Tanzania TANZIA GE2025 Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia

    Hakuna amani atayoipata uyu kwa matendo maovu aliowafanyia wengine!!!
  7. T

    JamiiForums Tanzania Ipi ni njia sahihi ya kufanya biashara na mwanamke?? Kumfungulia biashara yake au Biashara yako yeye ndo asimamie?

    Hello.. Njia nzuri ni wewe fungua biashara na mwajiri mke wako katika hiyo biashara!!asiwe na maamuzi ya mwisho kiuhalisia ila kinadharia mfanye ajione yeye ndio mmiliki. Ukiweza ilo utafanikiwa.. wanawake ni viumbe wazuri sana kiutendaji chini ya mwanaume.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kikao cha Dharura namna na watu wa kumjibu Gwajima

    Makonda na genge lake wakishirikiana na meko walimshindwa gwaji boy..itakua huyu chura kiziwi wa visiwani?
  9. T

    JamiiForums Tanzania Vijana msithubutu kufanya uhanaharakati uchwara mwisho wa siku unaacha mzigo kwa watoto na mke

    Wengine wamezaliwa na hzo harakati ndio hatma zao...hayo mengine sijui familia ,mke ,nk sio vipaumbele vyao.. Unawashaurije muoga wewe?????
  10. T

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Suala la Padri Kitima litakuwa na uwazi lakini kwa kufuata miiko ya taaluma

    Na bado unaendaga kanisani Chalamila na unamuabudu Mungu...??? inashangaza..
  11. T

    JamiiForums Tanzania Mke wa Mdude: Tusifiche na tusisingizie mtu, waliomchukua mume wangu ni Polisi. Polisi wa Tanzania wana roho mbaya sana

    Serikali ya Tanzania inatia aibu sana...hvi hakuna wenye hekima ndani ya ccm kweli?? Mbona mamb ya aibu yanafanywa na mpo kimya!!!🙂‍↔️🙂‍↔️🙂‍↔️🙂‍↔️
  12. T

    JamiiForums Tanzania Mpasuko na mgawanyiko wa kutisha wa CCM umewadia mwaka huu

    Dotto biteko naibu waziri mkuuu ataegombea uraisi kupitia ccm mwaka huu October 2025..stay and watch!!!!!
  13. T

    JamiiForums Tanzania Steve Mangele: Haiwezekani mtu atoke kwao aje kwetu kutetea waasi

    Ni kituko Cha Karne uyo..hajitambui!!
Back
Top Bottom