Recent content by Tagalile S. Tagalile

  1. T

    Sitosahau siku ambayo tulifika Mbeya saa saba mchana. Njia nzima nilitubu dhambi zangu

    Hii kitu achana nayo Ikitoka Mbeya saa 12 Iringa saa 2:15 Saa 7:00 Chalinze, Moshi 12:00 Kiroho safi Arusha Mapema 1:30-2:00 tu utafikiri umetoka Dar na basi za Siki hizi Sent using Jamii Forums mobile app
  2. T

    Wanaharakati wa haki za wanyama hivi huwa hamuoni mbwa wanaogongwa?

    Ulishawahi kwenda Iringa ukakuta mbwa amegongwa na gari kisha akaliwa kama kitoweo? Mjinga wewe
  3. T

    Ushauri: Nimempa mimba binti ambaye si wa ndoto zangu

    Inadibi tu ulee hiyo mimba, msije mkaitoa maana ni laana..ndio binadamu huwa tunakosea na kuingia dhambini lakini usithubutu kufanya mauaji hayo ya kinyama....
  4. T

    Watu wasiojulikana wamemuua Mhasibu wa Tume ya ushindani nchini (FCC) Bw.Alex Malata na kumtupa baharini eneo la daraja

    R.I.P Alex Malata, nimeishi kwenu Ipogolo (Cagliero) tukijiandaa na mitihani ya sekondari, tumekuwa pamoja ukiwa FCC pale Ubungo Plaza, mwezi wa 12 mmempoteza Mama yenu kweli ni Huzuni kwa familia ya Mzee Malata. Mungu akuweke pema.... Amina
  5. T

    Ninajihisi mjamzito, lakini sikumbuki ni wa nani

    Usitoe mimba, utapata dhambi, tubu kwa Mungu wako lea mtoto wako na mpe matunzo anayostahili
  6. T

    Kwaresma 2018 Special thread...

    Ndivyo tunapaswa kuenenda wakristo kuirarua mioyo yetu na kupata toba na msamaha pamoja na kuishi utakatifu... Maisha duniani ni mafupi na safari kurejea kwa Muumba ni muda wowote hivyo tujiandae sio wakati wa Kwaresma tu bali kipindi chote cha mwaka
  7. T

    Nitabisha mpaka kufa... Hajasema hivi

    Mmmmhhhh hapana kwa hiyo kauli, mke mmoja atosha
Back
Top Bottom