Hii kitu achana nayo Ikitoka Mbeya saa 12 Iringa saa 2:15 Saa 7:00 Chalinze, Moshi 12:00 Kiroho safi Arusha Mapema 1:30-2:00 tu utafikiri umetoka Dar na basi za Siki hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Inadibi tu ulee hiyo mimba, msije mkaitoa maana ni laana..ndio binadamu huwa tunakosea na kuingia dhambini lakini usithubutu kufanya mauaji hayo ya kinyama....
R.I.P Alex Malata, nimeishi kwenu Ipogolo (Cagliero) tukijiandaa na mitihani ya sekondari, tumekuwa pamoja ukiwa FCC pale Ubungo Plaza, mwezi wa 12 mmempoteza Mama yenu kweli ni Huzuni kwa familia ya Mzee Malata. Mungu akuweke pema.... Amina
Ndivyo tunapaswa kuenenda wakristo kuirarua mioyo yetu na kupata toba na msamaha pamoja na kuishi utakatifu... Maisha duniani ni mafupi na safari kurejea kwa Muumba ni muda wowote hivyo tujiandae sio wakati wa Kwaresma tu bali kipindi chote cha mwaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.