Hiyo point ya kuajiri ndugu naielewa kiundani kabisa...sitasahau mdogo wangu mtoto wa mama yangu mdogo alichonifanyia kwenye duka langu la jumla pale Tip Top mwaka 2012 aiseeee...ndugu waache wabaki kua ndugu tu la sivyo mtaishia kwenye uhasama mkubwa saaaana na migogoro isiyoisha
Sent using...
We jamaa upo vizuri kinoooooma yaaan umeteremka kisomi na kueleweka sana...hii ndio inaitwa akili kubwa inayotakiwa katika jamii zetu maana wengi wetu tunapitia vipindi vigumu sana katika maisha (binafsi now napambana na colon cancer) so watu wenye positive mindset kama wewe ndio haswa mnatakiwa...
Ni wazo zuri sana saaaaaaaaaana...linafaa kuigwa na madhehebu mengine na kwa mfumo huu tutazalisha sio tu wanafunzi wenye ufaulu mkubwa bali pia kizazi kinachojitambua na chenye msimamo kupitia hiyo session ya ushauri na saha...Hongera sana baba Mastahi hakika una maono ya mbali sana na...
Hiyo kozi ya project planning and management haipo kwa chuo cha mlimani na pia hujatanabaisha kua unaitaka katika level ipi? Je bachelor degree, Masters degree au PhD?
Ila kwa ushauri tu kama unakizimia chuo cha mlimani na unataka kusoma hiyo kozi ambayo pale hamna basi kachukue kozi ya Applied...
Binafsi nilipousoma uzi wake na pia namna anavyowajibu watu nikabaini mleta mada alitaka majibu ya kua maeneo tajwa yanahusishwa na ushirikina, mambo ya majini majini hiviiiiiiii...in short ameokoteza story kijiweni, ambapo wengi wa wapiga soga ni waongoooo sababu hujua wanapiga soga na wajinga...
Tena sio 20,000 tena bali ni BUREEE kabisa means mzazi haingii gharama yoyote ihusuyo ada ila baada ya "technolojia na utandawazi" huyu mzazi aanze kuota kipara kutafuta ada ya laki kadhaa hadi million kadhaa kusomesha mwanae...
Na mimi naomba msaada...nina kiwanja changu kipo Mbezi mwisho kina ukubwa wa 20 urefu na upana 26 je naweza kujenga nyumba ya ukubwa gani na gharama yake je kwa nyumba ya kawaida tu sio ya kifahari...maisha yenyewe ya kawaida so nyumba ambayo inasadifu hali halisi ya maisha
Kila mtu ana assumptions zake kuhusu Dunia na umauti lakini all in all itabakia kua theories tu bila exact proof na hakuna ushahidi unaweza kuja kupatikana kuhusu theory hii so kilichopo ni kumtumainia muumba/ maanani baaasi hayo mengine yasiyoweza pata uthibitisho wa moja kwa moja tuachane nayo
Hii kitu wakati nasoma miaka ile nilikua namuona kaka yangu wa kwanza kama mkoloni yaaan hatujali sie wadogo zake maana msemo wake ulikua ni "familia yangu ni mke wangu na watoto wangu basi hao wengine nawasaidia mbali lakini sio kuishi kwangu " nilikua simpendiiiii ila baada ya kukua na...
Hayo ya kupata utajiri wala sikutaka kuyajua maana sio dhumuni la message yangu halafu sijui ume-quote kwenye message yangu wakati mie nilikua namjibu mdau mmoja aliyempoteza mwenzake kuwa Shigongo anasoma UDSM wakati sio kweli... Sasa nikuulize wewe mkuu umeni-quote na kusema Shigongo kapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.