Recent content by Tadey P Assey

  1. T

    Uchaguzi Serikali za mtaa, CHADEMA waambulia mtaa mmoja

    siasa ni mchakato muhimu sana katika taifa sio kudadadeki au piga bao, vyama vyote vinafaidisha wananchi wote, kusingekuwepo CHADEMA tungeshauzwa, hivyo badilisha mtazamowako kuhusu siasa, ila sikulaumu hii ndio elimu ya siasa ianayotolewa na chama chako, tuombe mungu tujepata viongozi wenye...
  2. T

    Uchaguzi Serikali za mtaa, CHADEMA waambulia mtaa mmoja

    maandamano yasio halali ni kwa CCM kwa woga wenu, lakini katiba inasema ni halali, kama mnafikiri mnaungwa mkono na wtanzania walio wengi simruhusu maandamano kama haki ilivyo kwenye katiba? acheni porojo fuateni katiba na mtoe haki lasivyo tutaitafuta CHADEMA
  3. T

    Dr. Slaa atafutiwe mshauri, hii ni kwa kuilinda hadhi yake!

    Miaka ishirini CCm ilikuwa juu 100%, Chadema ilikuwa chini 0% sasa CHADEMA ni Gumzo CCM nzima na Tanzania, tusasaidieni kuipaisha na mjiandae kwani kinachofuata ni CCM 0% na chadema juu 100% hiyo ndio logic reasoning. tumieni akili, acheni kuharisha humu JF
  4. T

    Dr. Slaa atafutiwe mshauri, hii ni kwa kuilinda hadhi yake!

    Miaka ishirini CCm ilikuwa juu 100%, Chadema ilikuwa chini 0% sasa CHADEMA ni Gumzo CCM nzima na Tanzania, tusasaidieni kuipaisha na mjiandae kwani kinachofuata ni CCM 0% na chadema juu 100% hiyo ndio logic reasoning. tumieni akili, acheni kuharisha humu JF
  5. T

    Dr. Slaa atafutiwe mshauri, hii ni kwa kuilinda hadhi yake!

    CCM wanapelekeshwa sana, sasa vipaumbele vyao ni 1. CHADEMA 2.CHADEMA 3.CHADEMA>...............10. CHADEMA, haya ndiyo matunda ya kazi zetu makamanda tuendelee kuchapa kazi wataisoma namba, watachafua Dr. Slaa, baadae tutaibuka Ma Dr. Slaa million 10, sijui watafanyaje wakati wana vichwa vya kuku.
  6. T

    Dr. Slaa atafutiwe mshauri, hii ni kwa kuilinda hadhi yake!

    watu wengine hamnazo, sasa ndoa ya slaa intuhusu nini? kwani kwenye siasa tutengeneza watoto? na kipimo cha elimu ni nini? digree? kipimo cha elimu ni uwezo wa kuchanganua mambo ili kuweza kutatua changamoto zako binafsi na za jamii inayozidi kudidimizwa na CCM na mfisadi wake.
  7. T

    Dr. Slaa atafutiwe mshauri, hii ni kwa kuilinda hadhi yake!

    Elimu yetu ndio tatizo haiwezeshi watanzania kutambua siasa ni nini, na sii kwa bahati mbaya bali ni makusudi, kwa madhumuni ya kuendeleza 'social capital' kwa tabaka tawala, sisi wenye dhiki mpaka utosini tuvae chagua CCM 95 na vibanda vikianguka na picha ya chagua mkapa tubaki tukishangilia na...
  8. T

    Dr. Slaa atafutiwe mshauri, hii ni kwa kuilinda hadhi yake!

    Hivi watanzania tujiulize huyu JK anatatizo gani? Mara mgogoro na Malwi, Uganda, madagasca,rwanda,Sudani,ya kidini Kisiasa madaktari, walimu waandishi wa habari na hata huko ndani ya chama chake migogoro haiishi jamani hamuoni kuwa ameshindwa? na si apatiwe mshauri? na sio Dr. Slaa. Acheni...
  9. T

    Prof. Jay aeleza sababu za kujiunga na CHADEMA. Aeleza msimamo wake kuhusu kugombea ubunge

    Prf. J ni J-embe, karibu sana mkubwa, tuondoe 'Ndio mzeee' maana zina tuboa huko bungeni
  10. T

    Kama aliyemtusi Makinda na Ndugai kwa kutumia simu kakamatwa, mengine wanashindwaje?

    bora kufa ukiipigania haki ya mnyonge jina lako litadumu milele kuliko kutetea udhalimu na kujakutoweka kama mzoga.
  11. T

    Wabunge wa CHADEMA karibu wote kusimamishwa kushiriki vikao vya Bunge kwa miezi sita

    Chichem mnatapatapa wakti mwingine mnawashangaza hata wapenzi na wake zenu
  12. T

    Wabunge wa CHADEMA karibu wote kusimamishwa kushiriki vikao vya Bunge kwa miezi sita

    we vip kwani walio kuwa wanampigia debe ni nani?Uhuru anatoka Upinzani au serekalini?kama ameweza kumuondoa odinga basi na nyie subirini ch moto mtakiona.
  13. T

    CHADEMA mmejifunza nini kwenye mkutano wenu Temeke

    Wewe umelishwa unga wa ndele na sisi emu matope yote wanayo fanya huyaoni??? am kweli haya ndiyo matokeo ya ubovu wa mitaala ya elimu.
  14. T

    Uhusiano wa ajira za ualimu Vyuo Vikuu, TCU na GPA za SUA

    hiyo sio issue jamaa alitolea mfano tu, hakuwa anawalenga directly, lkn kwa kuwa hukuiva vizuri umeanza kupindisha mada mkubwa, hii ni self over conciousness,
  15. T

    NMB na CRDB

    hii ndio application social capital theory; rafiki yako amekuzidi kwa social capital yaani ametokea social class gani, anajuana na nani, na ananini?
Back
Top Bottom