Recent content by Ta-kibombo

  1. Ta-kibombo

    Mwenye ufahamu na Shinyanga Girls

    Ni Ni Shule mpya,niya wasichana pekee.Wengi hawaifahamu kwakua ni mpya.
  2. Ta-kibombo

    Mwenye ufahamu na Shinyanga Girls

    Hii ni shule mpya,ipo eneo linaitwa butengwa manispaa ya Shinyanga
  3. Ta-kibombo

    Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

    Mimi(mwanaume),tarehe21/7 herufi I Yeye(Mwanamke),tarehe15/4 herufi J
  4. Ta-kibombo

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Tarifa za kijeshi muhimu nyingi uwa ni siri,usitegemee kupata tarifa sahihi zakimedani toka pande zote mbili.Pia hizo silaha idadi inayotangazwa kupelekwa ni tofauti na uhalisia kwa sababu za kivita.Kwahiyo ukiona wamesema wamepeleka HIMARS kadhaa jua idadi ni zaidi au pungufu,pia ukiona...
  5. Ta-kibombo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    We jamaa bwana,kwahiyo kwako kuona hiyo picha unaona sehemu nyingine hawakufika/hawaendi?Mbona ata Shinyanga walikuwepo wiki moja na nusu zilizopita?
  6. Ta-kibombo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Inashangaza,sielewi nini kinakwamisha miradi ya barabara tena muhimu,mfano kuna barabara muhimu inayounganisha kanda ya ziwa na kaskazini kupitia kusini mwa serengeti,hii barabara ya Kolandoto-Meatu-sibiti mpaka karatu ni njia ya mkato kueleka Mikoa ya kaskazini,ikifunguliwa itachangamsha sana...
  7. Ta-kibombo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Endelea kukalili,tutakukaribisha baada ya mwaka mmoja ushangae mabadiliko yaliyopo.Mipango inayofanyika kutekelezwa mpaka 2026 niyakushangaza.
  8. Ta-kibombo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Unaumwa wewe,Chuo cha Ushirika moshi ukitoa main campus ya moshi tawi lingine ni la Kizumbi Shy,tena ili la Shy linakatwa mwaka huu kiwe chuo kikuu kinachojitegemea tayari uboreshaji miundombinu unaendelea,hii ni sambamba na upandishaji wa chuo cha afya na tiba kolandoto.Kuna vyuo vikuu vipya...
  9. Ta-kibombo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Nyie mnaekusanya nyingi mbona miradi yenu hatuioni?Kwa tarifa yako makusanyo mwaka huu yatapanda mara mbili yake pia halmashauri imekuja na mbinu mpya yakupata fedha yakutekeleza miradi.
  10. Ta-kibombo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Hayo maduka unayosema mabanda nenda kashangae yanajengwa huku na watu binafsi.Yanajengwa sabasaba,Ccm mkoa,Mnara wa voda nk.
  11. Ta-kibombo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Nani kakudanganya hizo ni render?Hiyo ni miradi inayoendelea kujengwa kwa pesa za ndani za halmashauri.Hizo stand zinajengwa kuna mfumo maalum unaandaliwa wa usafiri wa ndani ya mji ambapo kutatumia magari yakisasa kutoa huduma ndani ya mji.Majengo yakisasa ya machinga unayosema mabanda...
  12. Ta-kibombo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Vitu simple tu navyakuvutia na mwendo wa kimya kimya.Mradi wa tactis wa Benki ya dunia unaokuja ni wakuja kujazia jazia
  13. Ta-kibombo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Tena miradi inaendelea kwa kasi sema hakuna wapiga picha tu,kila sehemu ukitembelea kuna mradi.
  14. Ta-kibombo

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Pia kutakua na ujenzi wa shopping mall kubwa eneo la mazingira center.
Back
Top Bottom