Njia mbadala yakukwepa mwigumbi ipo, inapitia Old Shinyanga unatokea Bubiki ambapo hapo unakua umeiacha Mipa na mwigumbi nyuma.Pia SGR kwa Shinyanga mjini haijafata MGR imekwepa imepita pembeni imepita Mwawaza, chibe, inaibukia Old Shinyanga.Napo hapo Old Shinyanga kuna daraja limejengwa ila...
Njia ipo yakupitia Old Shinyanga,ambayo unatokea sehemu panaitwa Bubiki ambapo ilo daraja la mwigumbi unakua umeliacha nyuma.Na hapo Old Shinyanga napo kuna daraja ila lenyewe barabara ndio inapita juu reli chini pia bado wajakamilisha kujaza kifusi hivyo magari yanapita pembeni ya daraja.
Kama choko choko haziishi kila wakati itabidi tuanze kutumia mbinu za israel sasa nikuteka maeneo yao yawe kama buffer zone ili tuheshimiane. Pia kutokana na chokochoko hizi na eneo tulipo ni wakati wa Jwtz kupewa bajeti kubwa na maradufu.
Jambo group pekee wanamiliki viwanda vya bidhaa tofauti zaidi ya 12,hapo bado kom group, fresho, gaki&East African spirits nawengineo kina dahong. Kumbuka nafasi ya viwanda kanda ya ziwa baada ya mwanza sasa vinaamia mkoa wa Shinyanga,ndipo viwanda vingi kwa kanda ya ziwa sasa vinawekwa.
Kwakweli Shinyanga kwa sasa imefunguka imeamka, kasi ya maendeleo nikubwa mno. Kwa waliotembelea Shy kuanzia 2020 kurudi nyuma na sasa nadhani wameona mabadiliko makubwa sana. Mji umefunguka umeanza kuchangamka. Pia wengi wanapita barabara kuu wanajua ndio mjini kati hapo ila hapo wanapopita ni...
Hizo ni "Satellite cities".Hapo wametumia kama msamiati tu nadhani uchache wa maneno ya kiswahili,kwa lugha ya kiingereza mji wowote uwe mdogo au mkubwa unaweza kuita 'city'
Moja ya kigezo kwa Tanzania manispaa inayopaswa kupewa hadhi ya jiji lazima halmashauri hiyo iwe pia ni makao makuu ya mkoa, kwa kigezo hiki inapoteza sifa labda taratibu zibadilishwe.
Ni kweli design ya stesheni ya Shinyanga ni ya madini ya almas, pia stestesheni ya Malampaka design imejikita katika zao la pamba, stesheni ya Isaka design imejikita katika uunganishaji wa nchi jirani ndio maana ukiangalia jengo muonekano wake kama ni majengo mawili yaliyounganishwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.