Kwamba CCM yenye maajabu inachukua watu kutokea CHADEMA chama cha juzi na kuwapa vyeo vikubwa ndani ya serikali! Hiyo ni sababu tosha kuonesha jinsi CCM ilivyo jaza vichwa maji.
Mna laana nyinyi siyo bure. Mmetanguliza maslahi yenu na ya familia zenu mbele badala ya Nchi. Watu mmekuwa kama wapumbavu kuhangaikia mambo ambayo mtakufa na kuyaacha. Punguzeni uchawa.
Nashangaa Kwa nini Jamiiforums hawajafuta huu uchafu ulio andika humu Hadi sasa. Kama wewe hutaki maoni ya wengine yasikike Kwa nini ya kwako yaachwe yasikike? CCM ni laana Kwa hili Taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.