Recent content by T14 Armata

  1. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Ndio maana nikasema suluhisho ni mahakamani. Mimi mwenyewe fixed games nimebashiri sometimes hela inarudishwa, sometimes nashinda, sometimes mimi nashinda mwenzangu aliyeweka vilevile anakataliwa anarudishiwa hela yake, sometimes stake kwangu inakataa juu ya 300,000 kwa mwingine inakataa juu ya...
  2. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Kuna verification ukishinda hela nyingi na mechi zenye ukakasi. Inaweza chukua siku mbili hivi, unapiga picha na vitambulisho. Ukitazama akaunti ya mtu aliyewahi kula hela nyingi iko verified na kwa muda fulani inaweza kuwa limited kwenye stake.
  3. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Mkuu unahisi tangu 2024 mpaka leo hajawahi pata hii idea. Kwamba ni ngeni hajawahi ambia mtu yeyote aliyekuwa anayo? Au unahisi hajawahi sema kwingine ndio kwa mara ya kwanza kaomba ushauri JF?
  4. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Umetaja Russia. Aircraft carrier yao iko kwenye matengenezo zaidi ya miaka 7. China mpaka hapa napoandika yuko na carrier anaunda kwenye shipyard ya Dalian. Inaitwa Type 004 kwa sasa na inaonekana itakuwa na nuclear propulsion. Mwaka jana Fujian ilikuwa launched mwezi kama huu. UK wana...
  5. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Aende mahakamani. Atoe ushahidi. Apate haki yake. Mimi wala sikuandika kuhusu mleta mada. Wala lingekuwa ni jambo langu nisingekuja JF na nisingedai 27M pekee. Ningedai na fidia ya usumbufu.
  6. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Ndio maana unatakiwa usome terms and conditions za kampuni husika. Vilevile ndio maana kwenye solutions za fixed matches mojawapo nimeandika kampuni mojawapo inawazunguka walioweka fixed. Watu kama 25 wa timu X wanakubaliana wafungwe over 2 kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili wafungwe over 3...
  7. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Nenda mahakamani mkuu. Mambo yasiwe mengi.
  8. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Unaweza beti fixed odds. Ukafidiwa hela ya take it or leave it pale utakapolalamika kunyima ushindi. Ni hela ambayo unapewa kufungwa mdomo na msizungushane, endapo hutaki nenda mahakamani msomeane vifungu na ushindwe. Ambacho hujui makampuni hayataki usumbufu. Mfano unaweza kuilalamikia...
  9. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Mwenzako anajadili kwa mantiki wewe unajadili kihisia. Ungekuwa unasoma terms and conditions za hayo makampuni ya kubeti usingeuliza haya maswali. Siku nyingine bashiri fixed match, shinda alafu kosa hela uende mahakamani uone kama utapewa. Huwezi tumia mihemko kisha umzidi anayetumia logic...
  10. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Vazi hili unaweza kuja nalo MOI na kupata huduma

    Admin hii sio TikTok au Instagram. Huku millennials hawajui hii trend na utani. Wanaona unauza mitumba 😂
  11. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    US ikiingia vitani kwa kuvamiwa military industrial complex inafufuliwa. Akina Huntington Ingalls wanazalisha nyinginezo. Na hakuna nchi ina carriers kuizidi US kwahiyo inakuwa na advantage vita ikianza. Na bado carrier battle group ya US Navy ni nzito inasindikizwa na meli, nyambizi, ndege...
  12. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Pakistan, Turkey na Saudia ndio kwanza wameanza hivyo hawawezi kurupukia hili suala zito. NATO haiwezi ingilia sana vita ambayo sio yao na haina maslahi kivile. Na haikuwa na ulazima wowote. Kikatiba US haiko vitani kwahiyo NATO hailazimiki kushiriki. US wenyewe kuna watu wengi tu serikalini...
  13. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Aircraft carriers zote hazipo deployed maana US haiko kwenye state of war na nchi yoyote. Ili US iwe kwenye vita ni lazima Congress ifanye declaration of war. Hivyo, it's unnecessary kuwa na deployments za kujimaliza kama kutoa nuclear subs zote, carriers, destroyers, cruisers. Vile vile, kuna...
  14. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Ya nini Kununua Range Rover Moja wakati kwa Bei iyo iyo unapata Xiaomi SkyNomad Nne!

    Wabongo hawa hawa wanaonunua Nissan Juke na Harrier tako la nyani ndio unasema hawakuwa na taste na Haval? Sema kingine ukweli unaujua.
  15. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Je majiko yanayotumia OIL CHAFU hayapo kwenye kundi la nishati safi na salama, mbona hayapewi promo na serikali wala wadau wa nishati safi?

    Wapishi ambao wako exposed kwenye hayo majiko na moshi wake hawapati madhara? Je, chakula hakitokei na harufu ya hiyo oil chafu.
Back
Top Bottom