Afrika Mashariki nchi tatu zote zinachechemea kufanya maandalizi. Huu ukanda ni vilaza watupu sasa tuliomba kuandaa mashindano ya nini. Kama vipi CUF wayapeleke South Africa, Egypt au Morocco. Upuuzi mtupu.
Ni maswali nyanya mnapewa. Walimu huwa mnalalamika sana interview mnataka mpewe maswali kwenye kada yenu pekee as if nje ya mafunzo yenu hamna uelewa binafsi wa kawaida.
Sasa mambo ya kg yanakushinda nini wakati mtoto huyo unayeenda kufundisha anayajua. Ina maana mambo ya uzito au urefu ni...
Yaani Tanzania ni mbumbumbu watupu. Tunaizidi New Zealand mara tatu kwa idadi ya ng'ombe ila wanauza zaidi ya trilioni 70 kwa mwaka kwenye nyama na maziwa.
New Zealand ukiwapa nchi yetu hii, wanauwezo wa kupiga trilioni 210 kwenye ufugaji tu, kabla ya sekta nyingine.
Paris uliyosifia ina mnara wa Eiffel ambao ni vyuma tu viliwekwa kupendezesha mji. Ila umekuwa kivutio cha utalii na ni landmark ya jiji.
Kwanini view ya Eiffel tower kwa Paris iwe jambo la maana, ila skyline view ya Dar es Salaam ionekane ni jambo la kijinga?
Mada inasema skyline ya Dar inakua (jambo zuri), wanapinga wanasema Dar kuna uchafu (jambo baya) kitu ambacho hakionekani kwenye picha zilizoonyeshwa na wala sio mada. Then wanatoa mifano ya Cairo na Kigali kwamba ni miji mizuri.
Unawaambia Cairo kuna foleni kubwa sana (sifa mbaya), wanaruka...
Nimesema Cairo ina foleni sijalinganisha kitu, nyinyi mliotaja hiyo miji kwenye uzi wa Dar ndio mmelinganisha mimi nime-quote. Bila kulinganisha na Dar, je Cairo ina foleni au haina?
By that logic, OP aliyeta picha za skyline unaona alibisha kwamba Dar ina kasoro na challenges zake?
Sasa kwanini uliona Dar haiwezi kuwa na kitu kizuri, ilhali mleta mada kaleta skyline inayokuwa na inaonyesha hatua za maendeleo. Wakati unakaza fuvu unatolea mfano wa Kigali kajiji kanazidiwa...
Wewe ni ng'ombe tu huna lolote kapuku mmoja. Hakuna mtu yeyote aliyefika Cairo hajui kama kuna foleni. Labda kama ulifungiwa chumbani na mumeo.
Wewe muuza uji, kengemaji tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.