JamiiForums Tanzania
AJIRA
Kama mshahara wa 800,000 kwa mwezi unadai kwa mwaka mtu anakuwa na milioni 16 basi nikwambie hivi, ukiajiriwa hadi utavaa nguo zimetoboka makalioni.
Kwanza huo mshahara hujahesabu makato ya kodi, shirika la hifadhi ya jamii, bima, bodi ya mikopo kama alikopa, mchango wa uanachama chama cha...