Recent content by T14 Armata

  1. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Ilikuwaje baada ya kwenda kumuona mtoto wako wa nje?

    Mkuu watu hawapingi kuzaa huna hela. Wanapinga kuzaa nje, alafu kusafiri kwa mkopo wa mke wa ndani. Wewe kama mwanaume kamili unaweza tumia mkopo wa mkeo kusafiri kwenda kumuona mtoto wa nje? Utoke Arusha hadi Tanga kwa 180k ya mkopo. Hapo hapo nauli ya kwenda na kurudi, hela ya kulala chumba...
  2. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi wa US kwenye manowari ya USS Lincoln watoa mlia

    Abraham Lincoln haina mjadala imekaa miezi 9 majini ikifanya kazi, imezidisha miezi 3 ya deployment. Nionyeshe carrier ya Urusi iliyokuwa deployed kwa siku 1 tu. Ni ipi?
  3. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi wa US kwenye manowari ya USS Lincoln watoa mlia

    Kauli za kujitungia hazifichi ukosefu wa carrier kwa hilo jeshi njaa unaloshabikia. US Navy hawajawahi tamka popote kuwa carrier inabidi ikae majini kwa miaka 10. Kama unaamini kuna jeshi duniani litapeleka combatants wakae front line miaka 10 basi achana na mijadala ya jeshi jadili tende na...
  4. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi wa US kwenye manowari ya USS Lincoln watoa mlia

    Nani alikueleza US carrier inatakiwa kukaa majini miaka 10? Unahisi kwanini waliunda carriers nyingi kama ndio hivyo? Ni jeshi gani duniani ambalo wanajeshi wake wanakuwa kwenye combat zone miaka 10 bila mapumziko? Bado nasubiri unitajie carrier ya Urusi ya kukaa majini siku moja ni ipi.
  5. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Sea Cargo Freight Fowarder Mwenye Bei nafuu chini ya USD 400 per CBM ni nani ?

    OgaBoy kitu cha kuzingatia ni exchange rate ya kampuni husika na nani anawahishwa mizigo. Hizi porojo za mtu anakuja kusema "mmezoea madalali wa Wachina" na hataji nani ana bei chini ya hapo hazitokusaidia. Binafsi siwezi enda kampuni uchwara kisa ina bei ndogo. Ambavyo still sijawahi dhania...
  6. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Sea Cargo Freight Fowarder Mwenye Bei nafuu chini ya USD 400 per CBM ni nani ?

    Nifuatilie kitu ambacho sijakileta na hakipo? Wewe uliyesema wengine wanapigwa na madalali wa Wachina, tutajie kati ya hizo kampuni ulizotaja hapo nani anasafirisha mashine chini ya $450 kwa CBM. It's very simple badala yake unapiga konakona. Au unahisi cargo unaagiza wewe tu humu JF? Kwamba...
  7. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi wa US kwenye manowari ya USS Lincoln watoa mlia

    Aircraft carrier imekaa baharini miezi 9. Wanajeshi ndio wameshindwa kukaa zaidi ya hapo, sio meli. Wenzako wa Urusi nitajie ni lini meli yao yoyote uliwahi kaa majini mwezi mmoja tu inafanya kazi. The last time wamejaribu kuipeleka voyage Admiral Kuznetsov ilifuka moshi ikabidi tugboats...
  8. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Sea Cargo Freight Fowarder Mwenye Bei nafuu chini ya USD 400 per CBM ni nani ?

    Kati ya kampuni ulizotaja hapo ni ipi inasafirisha machineries chini ya $450 per CBM? Uzuri wa JF unaweza kuta muuza TV anabishana na fuel attendant wa petrol station juu ya bei ya mafuta ya siku hiyo.
  9. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Sea Cargo Freight Fowarder Mwenye Bei nafuu chini ya USD 400 per CBM ni nani ?

    Fanya hivi, taja wewe hizo kampuni zenye bei nafuu ndio atumie hizo. Kwenye bei elekezi taja zinazosafirisha 1 CBM ya machinery na ya spare parts kwa $400. Atatumia hiyo bei kama benchmark. Usije ukawa unasemea bei ya mabati na vyuma vya ujenzi wakati hii ni mashine inayotaka space na...
  10. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Sea Cargo Freight Fowarder Mwenye Bei nafuu chini ya USD 400 per CBM ni nani ?

    Kwenye kununua mashine ya uzalishaji, achana na marobota ya chupi hakuna anayezingatia msafirishaji kabla ya mtengenezaji. Risk kubwa ni kwa mtengenezaji, hiyo difference ya $50 per CBM muagizaji anaweza ingia gharama zaidi au akaingia discount. Wauza mitumba ndio wanazingatia msafirishaji...
  11. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Sea Cargo Freight Fowarder Mwenye Bei nafuu chini ya USD 400 per CBM ni nani ?

    Ukisoma post yake swali lako lipo na jibu. Anasafirisha mashine ambapo kampuni zote za cargo huwa zina rate ya juu tofauti na mitumba au nguo. Kuanzia $450 hadi $500 per CBM. Swali lake lipo kwa nani ana bei nafuu kiasi.
  12. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Wadau, ni kiwanja gani kizuri Dar kwa sasa? 🍻🎶

    Huyo mwanamke mlevi kama wewe au unabeba mtoto wa watu kwenye pombe ili unywe wewe yeye anywe maji na Grand Malt.
  13. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Zambia yasitisha uhesabuji wa kura kutokana na vurugu

    Alikuwa Malawi ndio aliongoza term moja na kushindwa tena uchaguzi. Yeye ndio alikuwa mbovu zaidi, Katibu Mkuu wa kanisa la 'TAG' ya kule kwao, alikuwa Rais mbumbumbu kupindukia. Maofisa wa juu mashemeji na watu wa kabila lake na wakwe, Mawaziri wake mizigo. Hajui siasa, hajui uongozi amezoea...
  14. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Zambia yasitisha uhesabuji wa kura kutokana na vurugu

    Hichilema alikuwa mbovu tangu aingie madarakani. Ni sawa na Lazarus Chakwera yule aliyeshindwa uchaguzi mwaka jana. Chakwera na Hichilema wote walikuwa wapinzani. Wakaingia madarakaki wakawa mbumbumbu watupu.
  15. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Watu wa technology za simu mnaposemaga PRO,PRO MAX,ULTRA mnamaanisha nini?

    Utajua kwa kutazama specifications za model husika. Hizo specs hutajwa na OEM na ODM wa hiyo bidhaa. Kukariri kuna siku kutakufelisha maana mfano Xiaomi wana Redmi 15, Redmi 15 5G, Redmi 15 Pro, Redmi Note 15, Redmi Note 15 Pro, Redmi Note 15 Pro Plus 5G. Sasa wewe ukikariri camera island...
Back
Top Bottom