Recent content by T14 Armata

  1. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Kwa mliopo katikati ya miji na viunga vyake sana sana DAR,MORO na DODOMA kwa mbali fanyeni aka kautafiti mtaona

    Wiki mbili zimepita nilienda viwanja fulani kwenye jiji moja vinamilikiwa na CCM sasa kuna stalls pale (hivi ni fremu au flemu?). Nilihesabu kati ya 28 zilizojengwa, 13 zilifungwa siku hiyo. Ikabidi niulize kulikoni kwa kila jirani, wengine wamefiwa na jirani tena wamezika juzi yake, wengine...
  2. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Iran yaonesha miundombinu ya kijeshi 228 ya Marekani ilipigwa vibaya sana mashariki ya kati. Marekani ilificha

    Iran ilizishambulia UAE na Saudia hivyo zilijibu mashambulizi kwa kiasi fulani. Iran ilitumia approach ambayo ilikuwa inatarajiwa kabisa, hakuna kitu imefanya hakikuwa obvious au cha kushtua.
  3. T14 Armata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sawa Umemuoa mzazi mwenzangu (Single mother) Na ukakubali kumlea mtoto wangu; sasa ni kwanini unipangie namna ya Kumuona mtoto na mzazi mwezangu?

    Wewe endeleza huo utaratibu wa mke wako kuwa anapangiwa masharti na mwanaume mwingine. Ila usipeleke utaratibu huo kwa mke wa mwanaume mwingine nyara zako zitaitwa chapisho la picha mjongeo.
  4. T14 Armata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sawa Umemuoa mzazi mwenzangu (Single mother) Na ukakubali kumlea mtoto wangu; sasa ni kwanini unipangie namna ya Kumuona mtoto na mzazi mwezangu?

    Huo ubabe wa kishamba mnawaletea wafuga njiwa. Mimi naweza oa huyo mama wa mtoto wako with a proper "final solution" about you in case ukiniletea ujuaji. Ni bajeti ya about 3M huwezi niumiza kichwa.
  5. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nina million 3 nifanye biashara gani?

    Mleta mada shikilia hapa hapa. Zungukia migodini uzuri pikipiki inasafirishwa kwa bus au lori la mizigo hata ukiambiwa Runzewe kumeita wewe nenda. Usichimbe madini, wewe toa huduma ya usafirishaji au huduma nyinginezo mpaka hapo baadae uzoee utapanga mkakati mwingine.
  6. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Utambulisho wako wa jamii forum (jina) chanzo chake ni nini?

    Nilitoroka shule kwenda kutazama kwa TV Moscow Victory Day Parade ya mwaka 2015 ambayo ilikuwa kutumizia miaka 70 baada ya WW2. Kwenye parade hiyo Sergei Shoigu akiwa Waziri wa Ulinzi wa Urusi alizindua T14 Armata na ikapambwa sana kuwa ni next big thing. Nikakipenda kile kifaru, baadae nipo A...
  7. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Kwenu wabunge wa Kanda ya Ziwa: Airport ya Mwanza iboreshwe lakini hoja zenu za kikanda zisiwe sababu ya kupinga ujenzi wa uwanja wa Serengeti

    Mkuu hauna hoja yenye uzito wowote. International airport inahitaji walau wasafiri 1,000,000 kwa mwaka ili iwe feasible. Sasa watalii wanaoingia Serengeti hawajawahi fika 600,000 kwa mwaka. Na ubaya ni kuwa kati ya hao chini ya 600,000 wengine wanakuwa wameunganisha na vivutio vingine kama...
  8. T14 Armata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke akikuambia hapana, kuwa muelewa, wengine wameathirika, wengine akilala na wewe unakufa

    Nilimtongoza tukaenda vizuri nikamuita kwangu akaja akakataa kutoa nguo wakati chumbani kaingia vizuri bila shida. Huwa silazimishi ila natimua hapo hapo asije nisingizia nimelazimisha. Nikaendelea nae siku nyingine nikamuita akaja vile vile ila akaogopa kukataa sijui, maana ningemtimua tena...
  9. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Hapa ndipo unajua wamagharibi wakisema ugaidi wanamaanisha ni Uislamu

    Ugaidi unaweza kutokana na mifano uliyotaja. Sasa Nelson Mandela hakuitwa gaidi la Kikristo sababu ya jina lake au dini yake. Wala hakuwa anatetea wenzake akitamka Allahu Akbar, Glory to God au In Jesus Name. Mtu kama ni Abdallah akajilipua akisifia Nazi ideology huyo hawi gaidi la Kiislamu...
  10. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Hapa ndipo unajua wamagharibi wakisema ugaidi wanamaanisha ni Uislamu

    Kwamba neo-Nazi lazima awe Aryan race na aitwe Wolfgang au Walter?
  11. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Hapa ndipo unajua wamagharibi wakisema ugaidi wanamaanisha ni Uislamu

    Hao waliofanya mashambulizi wameyafanya kwa mlengo wa SS, ni Nazis sasa Christianity inaingiaje? Hao wameua huku wakirejea vifungu vya Biblia na mafundisho ya mitume? Wameua wakitamka Praise the Lord? Unadhani Juma akiamua kumchoma moto mwizi tutamuita gaidi? Au unadhani Jackson akiamuua...
  12. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania AJIRA

    Kama mshahara wa 800,000 kwa mwezi unadai kwa mwaka mtu anakuwa na milioni 16 basi nikwambie hivi, ukiajiriwa hadi utavaa nguo zimetoboka makalioni. Kwanza huo mshahara hujahesabu makato ya kodi, shirika la hifadhi ya jamii, bima, bodi ya mikopo kama alikopa, mchango wa uanachama chama cha...
  13. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Nimekubali nimefilisika, kwa sasa natuliza ubongo

    Hana njaa ya kufikia hatua hiyo kwenda kuwa saidia fundi. Atapambana hapo hapo jijiji Dar atakomaa amelizoea, kwenda kuanza upya Arusha na kupanga ndio anapotea mazima. Ujue ana familia
  14. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Nina miaka 30 na mshahara wangu ni 250k je nitaweza kutoboa?

    Option nzuri ya kuepuka ujira (maana huu sio mshahara) wa hand to mouth ni kutumia ujira huo kuukimbia, sio kuutunza. Kulazimisha mtu ale majani ya maboga na matembele mwaka mzima haitamfanya afanye savings ya maana kwa 250,000 ya kabla ya matumizi. Ni afadhari Sakwe uchukue mshahara mmoja...
  15. T14 Armata

    JamiiForums Tanzania Nina miaka 30 na mshahara wangu ni 250k je nitaweza kutoboa?

    Hawezi fanya saving ya maana. Akifanya saving mwaka mzima anajikuta na laki tano na hapo hii simu anayotumia hapa inadondoka kwenye maji.
Back
Top Bottom