Kuna kauli nyingi za uchafuzi wa hali ya amani unaoendelea hapa nchini ambao unaendeshwa na viongozi wa dini, kama ule uliotolewa na Sheikh ILUNGA KAPUNGU wa kitio cha Thaaqib Islamic Centre cha jijini Mwanza, Kwamba Bakwata ni tawi la kanisa, Muislamu rudisha heshima ya uislamu na nyenginezo...
Nakuunga mkono Dokta, hata na mimi nilisikia hivyo hivyo ila sikupata tu ufafanuzi na nilisikia Askari yuko Mahututi sijui kweli au ni propaganda tu kama hizo zinazotumwa na hao wengine.
Hakuna Mkwala wowote unaoogopewa, mnamtukuza tu nakumpasifa.
Hayo yote yametokana na juhudi za polisi wetu wakishirikiana na FBI.
Kwani Pengo jana alikuwepo Zanzibar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.