Kinacho nishangaza kuhusu mtu huyu ni kuwa pamoja na utajiri alio nao hakuna hata kibaraka mmoja wa lowasa anaye jua anafavya biashara gani zaidi ya kukisia tu,pili hizo pesa anazo honga makanisa usiku na mchana anatoa wapi??na kama ni kutoka friends of lowasa atawalipaje fadhilaa badae?au...
mods:tunaomba urekebishe hapo kwenye konzo iwe konza nadhani mtoa mada kakosea.
JAMANI TUKUBALI HATAKAMA WANAJEGA SOKO WAMESHA TUZIDI,SERIKALI YA CHAMACHETU IMEZIDI POROJO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.