Kweli huu ni ubinadamu kweli. Kuna mdada alifiwa na wazazi wake wote, akiwa na miaka 8 tu. Alipofikisha miaka 14 alikutana na mwanaume ambaye ni mfanyabiashala ya matunda. Kaka wa watu alijinyima akamsomesha. Mpaka sasa hivi na vyonena huyo dada yupo chuo UDSM. Heti leo ametuma komenti yake...
Naamini ni uelewa wangu tu, nimekosea nisameheni wadau wangu, ila nilikuwa namaana;
Hao madereva wetu wa magari kuwafanya wenzao kitoweo barabarani. Je? ni haki kwa vifo vina vyotokea. Asilimia kubwa ya waendesha magari huwabana wa bodaboda pindi akaapo pembeni yake.
Hv on the way hawa madereva wa car kuwafanya kitoweo % kubwa ya madereva wa car wakiwa kwenye magari wakiona boda*2 yupo pembeni yake ana mbana xo mnaonaje kama wanaonewa hv au wenzang mnaonaje
Nimerudi tena wadau najaribu kutafuta ubavu kuishi naye sasa mnaona yupi anaweza kuwa mzuri kati ya hawa
Kanisani/Msikitini
Kitaa/Uswazi
Vyuoni
Kazini
Night club
Safarini
Mitandao ya kijamii
NB; Kwingineko umapo ona ww pazuri
Mfumo huu utato chance pindi muungano uatakapo vunjika kila m2 na yake siombei muungano uvunjika sababu aliye changanya mchanga, mchanga umeshamfukia pia kumbuka dalili za mvua ni mawingu. Tuna majeshi meng ila moja 2 ndilo alipo kwenye muungano je pindi muungano ukavunjika majeshi yaliyo kwenye...
Ckuzote aliye uwa nayd anahitajika afe ila kabla mahakama haijatoa hukumu hiyo inabidi m2 huyo apimwe akili kama zipo sawa bac lazima naye afa pia tukio lililo tokea alikusudia au kwa mimi adhabu iko sahihi kama mahakama itaitumia ipasavyo
Nilikuwa na mpenzi wang akaenda depo la moja wapo ya chombo cha ulinzi na usalama. Kutokana na tabia tabia ya kutamani nikajikuta nimeingizwa kwenye mtego na binti mmoja nika mtia mimba ila tuliachana naye. Sasa bac alipo rudi yule wa depo ambaye kwenye mahusiano tuna kama miaka 3, akagundua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.