KUINGIZA VOCHA BILA KUKWANGUA.
Kuzima taa kwa teke.
Kukaanga samaki kwa maji.
Kuziba pancha za treni.
Uume na uke kung'ang'aniana kama umeiba mke wa mtu.
Ni hayo tu,ahasanteni.
nafahamu fika kazi ya betri ktk desktop,kaa ukijua desktop ina betri ili kutopoteza muda pindi inapokuwa off.
Ila huwezi kuniambia hiyo smartphone itatumia betri za ziada ktk operation zake. Wanajinadi tu,hawana lolote,hata technology ya micro component systems ambayo iphone wanaitumia bado...
we tulia kwanza unafikiri demu wako wote wanamwona mzuri?wewe ndo unaweza kumwona mzuri wengine wakaona kimeo,unafikiri wakipangwa hao 20 wote watakuwa na chaguzi sawa. Usikariri maisha,au hufahamu obama anamwona michelle mkali kuliko beyonce?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.