Wasanii wa kibongo mabwege kweli ingawa kuna baadhi wanauchungu na jamii zao kama ROMA MKATOLIKI,Ambaye anaichana serikali bila uoga wowote....wasanii wengi wa kibongo kazi yao kutukuza kisicho CHEMA....wasanii mwende SHULE....Mnatumiwa na magamba kwa influence yenu mnakusanya wananchi ktk...
Mie sishangai hata kidogo na nilitegemea kitu kama hicho...kwani hata wabunge wanaotuhumiwa kwa ufisadi warudipo kwenye majimbo yao hupokelewa kama mashujaa wa vita na wengine kuwalilia mpaka wanazimia wanapojiudhuru.....! This is Tz we wanted.
Tuache hadithi CoET TATA....PEPA Mnapiga Jpili mwanzo hadi mwisho wa semister at the same tyme maticha wengine wanabana wanataka kufundisha jmosi....! Shule ya CoET hawatest understanding bt claiming capacity....usipoiona test ya nyuma aliyoiokota lect huko anakojua basi ishakula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.