Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
Tanzania bado tuna mijitu mijinga ajabu, wao kazi yao ni kujikomba kwa watawala as if waiting to win favours. Waandamanaji wako Marekani, wewe uko upande mwingine ukijikomba komba labda angalau ka U-DC kakushukie, pilipili iko shamba, wewe huku mjini inakuwashia nini?. Nashauri peleka utumbo wako huu kule kule kwako wanakojadili kwa nyimbo za sifa na mapambio kuhusu uozo wa serikali yetu sio humu jf!.