Recent content by Sylvia Najo

  1. S

    Ulinzi wa ajabu Central Police kwa ajili ya Mbowe; asafirishwa kwa ndege ya JWTZ kwenda Arusha!

    rais hana uwezo wa kumtimua hakimu akitaka kama unavyodai wewe mkuu. Hebu pitia tena katiba yako uone. Kuna njia za kufata na wala si rais ndo anamtimua. Usiongee tu hovyo bosi
  2. S

    Mbowe ashikiliwa Central Police

    wewe itakuwa mlevi wa komoni, tanzania hakuna mahakama kisa Mbowe kakamatwa? Nonsense!
  3. S

    Barua ya wazi kwa wadada wote wa kitanzania in jamii forums

    This is quite gud. Thank u very much, hii lazma wadada wengi waipate ili iwakomboe. God bless u
  4. S

    Tofauti ya umri katika mahusiano na kwa wanandoa (mume na mke)

    Uwiii mbavu zangu mie! Klorokwini u' ve made my day!
  5. S

    Jerry Muro, wapi alipo?

    Hakuna mbaya duniani jamani; acha kashifa kijana:evil:
  6. S

    Jerry Muro, wapi alipo?

    Si bora hata yeye alikua na uthubutu wa ku deal na hao mapolisi? Wangapi wanaona uovu unatendeka na hawajali lolote kisa kuogopa huo upolisi wao? :israel:
  7. S

    Ni 'Kitchen Party' au 'Bedroom Party'?

    mmmmmmmmhhhh............
Back
Top Bottom