Recent content by Sylazie

  1. Sylazie

    Tuambie mbinu/njia unayotumia kumdai uliyemkopesha

    [emoji1] hata hujali au sio mkuu!!
  2. Sylazie

    Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

    Sidhani kama ulipaswa kuniuliza swali kama lile,nadhani nitajibu swali linalohusiana na mada husika,au unaonaje mkuu.
  3. Sylazie

    Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

    Hatukosei sababu tu sahihi ktk hilo kaka yangu,kwasababu wewe waona inafaa Bali mimi naona hafai na ndio maana napinga/nakataa,tunaelimishana ktk hili ingawa sio wote watasikia au kukubalina na hili.
  4. Sylazie

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Nguvu zote ulizonazo zitumie kupambana
  5. Sylazie

    Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

    Ninaamini Si kila kitu ni cha kuweka wazi,isipokua pale tunapotoa ufafanuzi wa jambo Fulani,swali ulilouliza si mahala pake.
  6. Sylazie

    Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

    Kwasababu kila mwenye subira atampata wakufanana nae,haya ni mambo ya kuelimishana na kuwa na msimamo ktk suala hili,sio kutaka kuwa mjuzi kwa mambo yasiyo na ulazima,hapo nimekataa,na kwasababu najua nipo sahihi ktk hilo kwa 100%
  7. Sylazie

    Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

    Tatizo kubwa ni kwamba tumeshajiwekea mawazo kuwa ni lazima kitendo hicho kifanyike,ni mpaka pale utakapokubali kuacha na ushikilie msimamo huo no matter what,mazoea ni kilema.
  8. Sylazie

    Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

    Endelea tu,lakini usimseme mtu ni mshamba kwa vitu ambavyo sio vya lazima.
  9. Sylazie

    Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

    Nimezungumzia suala LA afya kaka yangu nadhani umenielewa tofauti hapa,starehe zisizokua na ulazima na kujiweka ktk hatari ya maradhi ambayo uwezo wa kujikinga nao ninao ndicho nilichomaanisha,watu wengi mnamlaumu huyu aliyeleta mada hii kuwa ni mchafu kitu ambacho si sahihi,pasipo kujua tayari...
  10. Sylazie

    Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

    Nilitegemea lenye uelekeo wa aina ya jibu kama hilo,endelea.
  11. Sylazie

    Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

    Nimekupenda buree kaka yangu.
  12. Sylazie

    Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

    Afya kwanza mkuu mambo mengine baadae,tahadhari ni muhimu kuliko kusubiri hatari itokee ndio tuanze hekaheka,si kila kitu ni cha kufanya vingine havina ulazima .
  13. Sylazie

    Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

    Jaribu kuelewa kwamba hii ni mojawapo kati ya njia Zitakazokusababishia kupata cancer ya koo,hizo njia nyingine hatujakataa but according to hili lazima ifahamike kwa wasiofahamu,
Back
Top Bottom