Nyie ndo mnakurupuka kwan taasis ya rais siyo yamtu wanajua kuna watu wenye akil za mahaba kama ninyi mtakaoleta Sera za kuihujum serikal kama wewe but magu ni kichwa tofaut mjipange wenye lengo lakuihujum nia njema ya mwenye nchi
Mfanyiwwe kipi ili mshukru rais anajua umuhim wa kuzalisha sukar yakutosha na pia hiyo tabia yakuficha sukar eti ili bei ipande nafaham analijua hilo tatizo lenu nikujifanya mnajua kukosoa kila kitu ,nilidhan ungekubal kwanza kuwa hill nijambo jema naukatoa ushaul wa kudhibiti bei na uhuni...
Watu kama wewe nihamjielewi tulikuwa tushaacha kumsikiliza mkwere LEO watu wanajaa kumsikiliza MTU ambaye anapambana kuiludisha inchi kwenye msingi wakila mtanzania afaidi kipato imesikia akiongea juu yakununua NDEGE kuanzisha mahakama yamafisadi bado jitu linakuja hapa kukosoa tena halielezei...
Issue nikwamba spika alikosea baada tu ya lissu kuomba mwongozo angetoa maelekezo kwa serikal yan angemkaribisha jenister atengue kanuni maana Tatar alikuwa ameshaandaa hill ajabu spika akazidi kutanua mjadala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.