Mkuu de gunner.Chuo unalijilipa Ada mwenyewe au unaomba mkopo serikalini? Kama unajilipia mwenyewe iyo pesa ya ada bac fanyia biashara tafuta mentor kwenye biashara ambayo unataka kuifanya akutrain vizuriiyo elimu uliyonayo inakutosha.ILA kama ni pesa ya serikali basi nakushauri omba mkopo nenda...
Ukiachilia mbali Mapungufu ya Serikali yetu katika Sekta ya Elimu.WAZAZI PIA WANAMAKOSA MAKUBWA SANA,KI VP?
Wazazi wengi wanaamini mtoto kwenda shule na kurudi ndiyo kusoma.Mtoto kutoka asubuhi na kurudi mchana ndiyo kusoma uku wakiamini mwishoni atafaulu (HAPANA NA SIO KWELI).Ili mtoto afaulu...
mimi nilisajili jin la biashara nilitumia siku 3 tu aisee,na sina mtu yeyote BRELA walasikumtumia mtu yeyote.Hongereni sana BRELA.mfumo ni mwepesi sana ni vile unaitajika kuwa na taarifa za kutosha na kuufahamu mfumo unafanyaje kazi inatosha.HONGERENI SANA BRELA
Huduma ya Mshiko fasta bado haileweki hususa kwenye Vigezo na masharti
Mfano ikiwa unadaiwa na Mitandao ya simu bac hata mshiko fasta pia hupati sasa mtu unajiuliza Bank na Mitandao ya simu wapi na wapi?mbona unadaiwa na Voda lakini Tigo,airtel wanakupa mkopo kama kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.