Kuacha kazi mkuu inaitaji ujasiri mkubwa sana,na ujasiri tunao. lakini tunawawaza walionyuma yetu itakuaje,kuna watu wanakula na kusoma kupitia sisi,icho icho kidogo tunachopata tunagawana nao.sasa ukifanya maamuzi ya kuacha kazi uingie mtaani upambane miaka 5,hawa watu wataishije?
ni
Ni kweli mkuu,na ndo kitu ambacho kinanipa subra nikiwawaza wengine ambao nimehitimu nao chuo tangu 2021 hadi leo hawajapata kazi yeyote ya kufanya.
wengine tumebahatika kupata kazi lakini kazi zenyewe ni mtihani tu mishahara midogo majukumu mengi,mzazi anakuangalia wadogo zako bado familia...
Umeongea kwa uchungu sana mkuu.
Ni kweli kupambana tunapambana lakini tunaishia kupata pesa ya kodi na kula tu.hakuna maendeleo yeyote tunafanya.hatukui.hatusogei tupo pale pale.majukumu yanaongezeka tunashindwa kusaidia familia.tunaonekana tunafanya kazi lakini kipato hakitoshi kutatua hata...
Kaka kuna wahasibu wanafanya kazi kwenye kampuni ambazo zinamiliki wafanyakazi zaidi ya 300 na ao wafanyakazi wanalipwa kwa masaa yao waliyofanya kazi mzee acha ii kitu kutengeneza payroll ya watu wote ao balaa ukizingua kidogo unampa mtu hela ya bure
NI kweli aisee,na uo mshahara wa laki 5 bado hajakwa NSSF elfu 50 bado LoanBoard elfu 75 bado PAYE anabakiwa na Netpay ya laki 3 na elfu na kama elfu 20 aisee,wawafikirie wahasibu bwana
Mkuu mimi nimeota juzi nimepigiwa simu niende kwenye interview then kuna bibi akawa anapita pembeni nioivyomaliza kuonhea na simu akili yangu ikawaza kwamba yule bibi ndo kanisaidia ivyo nikamkimbilia karibu nikasema asante, ila yule bibi akajibu asante ile ya kushangaa alafu akasema asante ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.