Recent content by sychellis

  1. sychellis

    Ikitokea umefukuzwa kazi sasa, una mbinu mbadala ya kujiingizia kipato?

    Dah mkuu ukiachana na ajira niliyonayo sina sehemu au kitu kingine cha kuniingizia pesa,kwaiyo siku ajira ikibuma sijui nitakua mgeni wa nani
  2. sychellis

    Sioni haja ya kwenda chuo

    Mkuu de gunner.Chuo unalijilipa Ada mwenyewe au unaomba mkopo serikalini? Kama unajilipia mwenyewe iyo pesa ya ada bac fanyia biashara tafuta mentor kwenye biashara ambayo unataka kuifanya akutrain vizuriiyo elimu uliyonayo inakutosha.ILA kama ni pesa ya serikali basi nakushauri omba mkopo nenda...
  3. sychellis

    Sioni haja ya kwenda chuo

    MKuu kwanini umemwambia asichukue uhasibu?
  4. sychellis

    Hakikisha unajua vitu hivi muhimu ili kuomba ajira za Kimataifa

    Mkuu ulivyoviandika vina uhalisia kabisa.safi sana
  5. sychellis

    Siasa, unafiki na usanii: Ufaulu wa kidato cha nne mwaka 2023 umejificha ndani ya divisheni 4

    Ukiachilia mbali Mapungufu ya Serikali yetu katika Sekta ya Elimu.WAZAZI PIA WANAMAKOSA MAKUBWA SANA,KI VP? Wazazi wengi wanaamini mtoto kwenda shule na kurudi ndiyo kusoma.Mtoto kutoka asubuhi na kurudi mchana ndiyo kusoma uku wakiamini mwishoni atafaulu (HAPANA NA SIO KWELI).Ili mtoto afaulu...
  6. sychellis

    BRELA ni kero kuanzia kufungua kampuni mpaka kwenye jina la biashara

    mimi nilisajili jin la biashara nilitumia siku 3 tu aisee,na sina mtu yeyote BRELA walasikumtumia mtu yeyote.Hongereni sana BRELA.mfumo ni mwepesi sana ni vile unaitajika kuwa na taarifa za kutosha na kuufahamu mfumo unafanyaje kazi inatosha.HONGERENI SANA BRELA
  7. sychellis

    Nina degree ya Accounting and Finance, natafuta kazi

    kama una ndugu DSM njoo, uku kupata kazi au sehemu ya kujitolea ni si mple zaidi ya mkoani
  8. sychellis

    NMB "Mshiko Fasta" ilitakiwa ifanye kazi kama Songesha na ''Nipige Tafu" za makampuni ya simu. Mnafeli wapi?

    ichi kitu kimetokea kwa watu wengi sana.wanatakiwa wakirekebishe
  9. sychellis

    NMB "Mshiko Fasta" ilitakiwa ifanye kazi kama Songesha na ''Nipige Tafu" za makampuni ya simu. Mnafeli wapi?

    NMB wanatakiwa waiboreshe hii huduma,wasiifanye kama ni mkopo wa nyumba au gari. uu ni mkopo mwepesi wanatakiwa warahisishe vigezo na masharti yao
  10. sychellis

    NMB "Mshiko Fasta" ilitakiwa ifanye kazi kama Songesha na ''Nipige Tafu" za makampuni ya simu. Mnafeli wapi?

    Huduma ya Mshiko fasta bado haileweki hususa kwenye Vigezo na masharti Mfano ikiwa unadaiwa na Mitandao ya simu bac hata mshiko fasta pia hupati sasa mtu unajiuliza Bank na Mitandao ya simu wapi na wapi?mbona unadaiwa na Voda lakini Tigo,airtel wanakupa mkopo kama kawaida
  11. sychellis

    Naomba msaada nimepata tatizo la vipele kwenye úume

    Dawa ipi mkuu,inaitwaje na kama unauza unauzaje bei gani?
  12. sychellis

    Naomba msaada nimepata tatizo la vipele kwenye úume

    duh ii mbona hatari sana mkuu
  13. sychellis

    Naomba msaada nimepata tatizo la vipele kwenye úume

    mpe dawa mkuu,au muelekeze dawa,msaidie
  14. sychellis

    Naomba msaada nimepata tatizo la vipele kwenye úume

    mkuu umepona? na kama umepona umetumia dawa gani?
  15. sychellis

    Nasumbuliwa na tatizo la genital warts

    uu ugonjwa naona umeshika kasi kipindi ichi
Back
Top Bottom