Kwa jinsi kipindi kilivyokuwa na fans wengi na sio kipindi cha live...inabidi wajipange kwa kurekodi vipindi vingi ili ata akiumwa bado tutaendelea kuenjoy.
Lakini wote mimi na wewe hatujui ni nini kimempata MTIGA
Hii ni kwa wapenzi na wafuatiliaji wa The story book kutoka wasafi fm!
Hawa jamaa walianza vizuri sana na hichi kipindi chao lakini lakini saizi kipindi kinazidi kupoteza mvuto, baada ya kuanza kutuchanganyia sauti kwenye usimuliaji wa stori.
Wengi tumekipenda kipindi ni kwasababu ya sauti ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.