Recent content by Swizbe

  1. S

    Ntatfuta kazi ya 'Saidia fundi' nipo Dar es Salaam

    NB: Napatikana Kigamboni Dar es Salaam
  2. S

    Ntatfuta kazi ya 'Saidia fundi' nipo Dar es Salaam

    Malipo kwa bei inayofahamika kwa sisi wasaidizi...asante
  3. S

    Ntatfuta kazi ya 'Saidia fundi' nipo Dar es Salaam

    Habari Wana jf, mm ni kijana jinsia Me naishi DSM natafuta mafundi wa kunishika mkono kwnye tenda mbalimbali za ujenzi. Naweza safirI mahali popote jijini Dar es Salaam pia nshafanya kazi mbali mbali za usaidiz katika kampuni mbalimbali ikiwemo ujenzi wa terminal three(3) ya mwalim Julius...
  4. S

    Niko tayari kujitolea katika taasisi yoyote ya maswala ya Bima/ insurance kwa kazi yoyote nia kujifunza zaidi kwa elimu niliyonayo Asanteni

    Habari Wana JF, Kwa Jina Naitwa Steven Naishi Ilala Dar es salaaam namiaka 24 Pia ni Kijana mchapa Kazi mwaminifu kwa kila majukumu nayofanya, Katika swala langu la kielimu nimehitimu level zote ikiwemo O level, Advanced level na kwa sasa ni kijana naehitimu elimu yang yangu chuoni nikiwa...
Back
Top Bottom