Recent content by Swenti

  1. Swenti

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Shida inaanzia hapo, "tyuuh" ndio nini? Kwamba ndio hormone imbalance au?
  2. Swenti

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Haijalishi, na hayo mambo yapo kila sehemu BUT kuzaliwa familia masikini hakukuforce wewe uwe masikini pia ilhali unauwezo wa kujitajirisha. Ilimradi umekua na umepata akili... zuri na baya unalijua then baya achana nalo.
  3. Swenti

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Hormones imbalance wala sio ushoga, mimi nazungumzia ushoga. Kuzaliwa namna yoyote sio kosa. Mashoga wengi mnaowaona wala hawana hormones imbalance isipokuwa tabia tu za kujizoesha ndo zinawafanya wawe hivyo. So hakuna namna yoyote ya kuwatetea mashoga kwa hoja ya hitilafu za hormones.
  4. Swenti

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Wazungu wamejua hilo ni tatizo lakini wamelipenda ndo maana wanapromote, sisi tumejua pia ni tatizo kubwa lakini hatulipendi na hatutaki hata kusilikia. Yaani mtu azaliwe na tabia za kiwizi wizi ndo tumchekee tu kwamba ndo tabia yake binafsi???
  5. Swenti

    Mashindano ya kumtafuta bingwa wa draft Tanzania 2022

    Officially huitwa Russian checkers (shashki). Hiyo kuita French sijui Wabongo wametoa wapi.
  6. Swenti

    Mashindano ya kumtafuta bingwa wa draft Tanzania 2022

    Actually hizo ni Russian rules sijajua nani alianzisha kuita hizo sheria zake French rules!!!!!!!!!!
  7. Swenti

    Mwanaume tafuta hela, acha kusema wanawake wanapenda hela hizo ni hasira za umasikini

    Pesa mnatafuta nyinyi halafu mwisho wa siku mnakuja kushare na mafundi dishi bure. Wanawake unawajua au unawasikia. Omba upate mwaminifu kwanza kisha tafuta hela.
  8. Swenti

    Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

    Kwahiyo unajaribu kuniconvice mimi sio, kisa uko addicted. Haahah! Hivyo vitu ni kwa ajili ya wafuasi wa shetani sio mimi.
  9. Swenti

    Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

    Wewe huwezielewa sababu umedatanayo. Halafu si unajua ushetani unanguvu kuliko breakdown
  10. Swenti

    Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

    Shetani ni kiumbe mtenda maovu hata binadamu anaweza kuwa shetani kama mfumo wake wa maisha alioichagua ni wa laana tupu. Kwahiyo kama hujawahi muona tafadhali omba hivyo hivyo usimuone.
  11. Swenti

    Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

    Muulize mtoa post usiniulize mimi. Mimi nimejibu kulingana na swali. Yeye ndo amesema ya kishetani na mimi nimejibu kulingana na vitu vingine vya kishetani vinavyopendwa kama "beer" nk.
  12. Swenti

    Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

    Jibu rahisi tu. Mambo ya kishetani ndiyo yenye kuvutia zaidi watu hapa duniani. Si unaona hata night clubs....
  13. Swenti

    Israel yawashambulia Wakristo Jerusalem, makumi wajeruhiwa

    Eh! Na huko Ujerumani na nchi zingine za wazungu wenu ambako wamerusu fully ndoa za jinsia moja majina yao yakoje?? Majina matano tu yanatosha.
Back
Top Bottom