min -me umeamua kunifungulia uzi eti nikuchambee unanini sura kaa taulo la gesti mtu mwembaba unakitambi kama chambuzi ukondeleana kama mbuzi huna lolote sura mbaya na hilo limdogo lako.sasa ka ma la mbuzi kila kitu uko kama mbuzi unakula kama mbuzi unacheka kama mbuzi una moguu kama ya mbuzi...
Baba yangu alikuwa na gari 2 na dereva 1 na alikuwa na pikipiki moja kubwa moja ndogo so endelea kujidanganya mwenzako ml 1 au 2 kipindi cha mwalimu mpaka 5ml ulikuwa mshahara wake.
Haahaaaa ni wewe tu mwaya tukianza zari na mumewe walianza chini walikuwa hawana kitu , mengi na mke wake walianza chini wakaja juu matajiri wengi walianza chini wakapanda kremu maisha jomba mie sina hela kiivyoo ila matajiri haswa haswa wa mjini wananifukuzia na siwataki maana wana wake ni...
Mwenye pesa afanyi juhudi jua hilo yeye anafanya mambo yake tu kiulani anajipatia pesa sasa ukiona mtu anajitahidi huyo bure kabisa kila kitu kasotea wanini kila saa hii ni nyumba yangu sijui hili gari langu huyo maskini??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.