Recent content by SweetyCandy

  1. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Nyerere alishauriana na nani kuunganisha Tanganyika na Zanzibar?

    Alichokosea ni hiki . 1.kuweka kwa mba Tanganyika ndio inawakopea zanzibar hela , yaani inatunza nchi ingine . Maslahi makubwa zanzibar wanapata kutoka baraa . 2. Wa zanzibar wana haki ya kuishi na kuingia Tanganyika kwa kigezo cha muungano hawana haja yakukaguliwa wala nini . Ila wa bara...
  2. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Wanawake tunapenda hivi...

    Hela ukiwa nayo sasa huna ni ngumu kuota kwanza kwa hali hii nani anamuda wa kumbembeleza mwanamke acha ndoto ingia kwenye uhasilia kuwa hakuna kitu kama hichoo.
  3. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Sijui Mwalimu Nyerere alikuwa akilenga nini kuruhusu watu kutoka Zanzibar kuwa na nafasi ya kuongoza Tanganyika

    Zanzibar nchi yangu naipenda sana waoooo.
  4. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Tonsils dawa yake ni nini?

    NI inbox
  5. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Wala wewe ni mnafiki
  6. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Tonsils dawa yake ni nini?

    Sasa ndugu yangu alikuwa nayo ila kwa dawa za kimasai alipona kabisa
  7. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Chunya: Mchimbaji Mdogo Wa Madini ya Dhahabu Bwana Aidan Msigwa Amefanikiwa Kuuza Dhahabu Za Shilingi Bilioni 20.1

    Eh mimi makubwa unaandika matusi makubwa kubwa kwanini shida nini?? Kwanza 2024 , nilikuwa mtu ambaye napenda sana kudakia dakia vitu sasa hivi mimi siwezi kuja kuolewa na muuaji kama wewe. Dah mtu kwa akili zake aje kuoleŵ na shetani asiye na huruma . KAma umefikia steji hi wewe ni ibilisi
  8. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Mwanaume akifumaniwa, mwanamke anaambiwa asamehe eti wakalee familia ila Mwanaume anaambiwa amuache mwanamke na Si asamehe alee familia?

    Mimi tokea wanaume wanitumie kishirikina nilikata stim nikajituliza
  9. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Ni mwanaJF gani ambaye unafikiri akipewa mamlaka kuanzia sasa anaweza kuiongoza nchi ya Tanzania?

    Ni wale wale tu anasaidia watu matajiri huyo hamna kitu
Back
Top Bottom