Recent content by SweetyCandy

  1. SweetyCandy

    Vijana wa CHADEMA oneni aibu mmeshindwa kumpambania Lissu

    Wewe umefikia wapi na juhudi zako
  2. SweetyCandy

    Msiogope kudai zawadi mlizopeana wakati wa uchumba, penzi likiwa la moto. Sheria ipo na inafanya kazi

    I miss u ninachoweza kukugawia ni upendoo tu babes yaani nakupendaje harusi lini ??? I need u babes still needs you
  3. SweetyCandy

    Trump akiombewa ili Mungu awaongoze kwenye hii vita

    Ndio nililalamika ila sijasaidika
  4. SweetyCandy

    Trump akiombewa ili Mungu awaongoze kwenye hii vita

    Hii si sawa unaombewa ukaue watu hapana kuua sio solution
  5. SweetyCandy

    Nchimbi: Mimi hata mambo ya kugombana kivyama vyama siyapendi naona ni ujinga tu

    Jamani mpeni heche urais akimaliza hi g. S. Yaani mtajua who is president of tz nampenda sana huyu baba ni mwema anautu jamani apewe maisha marefu sana simpendi tindu anayetindua tindua watu na vitu
  6. SweetyCandy

    SI KWELI Heche amesema wapo kwenye hatua nzuri ya mazungumzo na serikali

    Uraisi mkitaka chadema mchagueni heche anauchu wa mabadiliko na ni mtu mwenye roho safi viva hechee
  7. SweetyCandy

    Nchimbi: Mimi hata mambo ya kugombana kivyama vyama siyapendi naona ni ujinga tu

    TIndu lissu mpeni urais muone ndio maana hawampi kosa ni moja hana utu mnasema nayo tumpe mjionee. Ataanza vizuri mtampenda sasa subirieni muone mtaona hawa nafuh maana mnatawala makwenu. Mfumo wa vyama vingi huwezi kuupoteza ila kupigania hakutokoma maana kila mtu anahitaji ukuwa na wadhifaa...
  8. SweetyCandy

    US kuishambulia Iran muda wowote kutoka sasa

    Jamani huyu nyumbu anataka nini?? Hajui iran itamtawanya aki watu wanamoyo apeleke huko watoto wake na ndugu zake mxiuu
  9. SweetyCandy

    Hivi kuna mapenzi siku izi?

    Mbwa ni mbwa tu mwanaume amvaye anazo hela hakuhudumii ni mbwaaaaaazzzzz
Back
Top Bottom