Alichokosea ni hiki .
1.kuweka kwa mba Tanganyika ndio inawakopea zanzibar hela , yaani inatunza nchi ingine .
Maslahi makubwa zanzibar wanapata kutoka baraa .
2. Wa zanzibar wana haki ya kuishi na kuingia Tanganyika kwa kigezo cha muungano hawana haja yakukaguliwa wala nini .
Ila wa bara...
Hela ukiwa nayo sasa huna ni ngumu kuota kwanza kwa hali hii nani anamuda wa kumbembeleza mwanamke acha ndoto ingia kwenye uhasilia kuwa hakuna kitu kama hichoo.
Eh mimi makubwa unaandika matusi makubwa kubwa kwanini shida nini??
Kwanza 2024 , nilikuwa mtu ambaye napenda sana kudakia dakia vitu sasa hivi mimi siwezi kuja kuolewa na muuaji kama wewe.
Dah mtu kwa akili zake aje kuoleŵ na shetani asiye na huruma .
KAma umefikia steji hi wewe ni ibilisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.