mkuu kutoka njee ya ndoa ni tabia ya mtu. Hata awe na watoto wangapi kama ni tabia yake atatoka tuu. Tena akiwa mjamzito ndo kabisaaa full kujiachia, atatembea nje kuanzia mimba ina mwezi mmoja mpaka miezi tisa.
mkuu pole sana kutokana na tatizo ulilonalo. Nakushauri usipende kuweka laptop kwenye mapaja kama unatabia hiyo kwani lile joto lake si zuri linapokuwa karibu na sehemu zako za siri. Vinginevyo muone daktari kwa ushauri zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.