Recent content by SweetChacha

  1. S

    Nchimbi, Sophia Simba na Kimbisa wasema hawakubaliani na Uamuzi wa Kamati Kuu(CC)

    CC kuchelewesha majina mpaka na ulinzi mkali namna hii ujue kishakatwa kichwa mtu! Wanataka washitukize mkutano mkuu!
  2. S

    Wanajeshi, polisi watwangana risasi

    Polisi hawana chochote wanachochangia kwenye utulivu wa nchi hii!! Acha ujinga wewe poilccm.
  3. S

    Wanajeshi, polisi watwangana risasi

    Huyu mwandishi wa habari na Dc wote waongo tu, wananchi walifurahia sana kitendo cha polisi kupigwa na JWTZ watatu na waliopiga risasi ni polisi sio wanajeshi bhana, kama wale madogo wangepata silaha ingekuwa mengine! na huu ni utovu wa nidhamu na uvutaji bhangi holela wa hawa vijana wetu wa...
  4. S

    Matokeo ya Uchaguzi wa Madiwani October 28, 2012

    Ni kweli.... Ccm haikubaliki.... Isipokuwa inatumia pesa nyingi za walipa kodi kupata angalau kura kidogo
  5. S

    Picha ya Madiwani waliofukuzwa Chadema

    Dr. Silaa aliposema ni mtu makini hawa jamaa walikuwa hawajaja ndani ya TITANIC yetu ya CHADEMA?
Back
Top Bottom