Recent content by Sweet16

  1. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Alia kwa uchungu baada ya kuibiwa kwenye kuhiji Makkah Saudia

    Inaonekana kachaniwa pochi huyo na kibaka mtakatifu ila jamani shetani hana huruma hata kama ni kuokota basi angerudisha si wako mahali patakatifu au wameenda tu kutembea na sio kuomba
  2. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Alia kwa uchungu baada ya kuibiwa kwenye kuhiji Makkah Saudia

    Tufanye aliyemuibia ni Allah sasa au😃😃
  3. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Nimeenda kukodi ambulance nikaambiwa hakuna utaratibu huo

    Na hospital ya vijibweni mbona ni nzuri tu kujifungulia pale labda kama ana complications za kuhitaji kwenda hospital kubwa
  4. Sweet16

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu aliyeniacha anaomba msamaha anataka turudiane

    Asipofuata ushauri wako basi naye ana mapungufu 🤣🤣
  5. Sweet16

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kati ya kinywa na mbususu, kipi huchacha haraka zaidi na kuanza kutoa harufu isiyopendeza mara baada tu ya kufanyiwa usafi?

    Isenye na kyagata kuna siku ntaomba meeting na nyie
  6. Sweet16

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna dada katumiwa kadi ya mwaliko wa harusi na mwanaume aliekuwa na malengo nae/future almanusra ajitie kitanzi

    Kwa leseni ipi aliyonayo? Apotezee tu ashukuru kamwacha km sio single maza atatokea fungu lake
  7. Sweet16

    JamiiForums Tanzania TAHADHARI: Ugonjwa wa Ebola Walipuka DRC na Uganda, WHO Yatangaza Hali ya Hatari (PHEIC)

    Congo asilimia kubwa hao wadudu wanaliwa na weeengi sana nguchiro, tumbiri, nyani, chatu, kifutu, panya buku, panya wa kawaida ila wa porini kwenye mashimo, viruru wanaita nswa (mchwa) mafinyo finyo, imbwa (mbwa) hasa kabila la chiluba (wakasai)
  8. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Sio watalii wote ni wema wengine ni wahalifu

    Bora hao majambazi, ma drugs dealer wanakuja kupumzika tu wakiskilizia nchini mwao kunaendekaje afu wanarud zao kwao kuliko sir*ika*li tuliyonayo ya mauaji ya halaiki, watekaji, wasababisha hali ngumu ya maisha kwa wananchi, wanyanyasaji wa wenzao na kuwaita wahaini tuko nao na hakuna kitu...
  9. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Kwa Nini watu wengi Duniani hufikiri Afrika ni Nchi Moja Je, Darasani Hawafundishwi?

    Lakini mbona Africa wengi wanajua sio nchi moja? Anyways labda unaokutana nao huko.....
  10. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Kwa Nini watu wengi Duniani hufikiri Afrika ni Nchi Moja Je, Darasani Hawafundishwi?

    Africa ndiyo tunasoma nchi zilizoendelea, sasa nchi zilizoendelea zinawezaje kusoma third world countries? Mfano Mo anaweza kuwajua masikini wa buza? Ila masikini wa Buza wanamfahamu Mo na pengine hadi huko mikocheni sjui msasani anapoishi......ila Mo hawezi kujua hata buza iko wapi anaweza...
  11. Sweet16

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Majibu mabaya kwa mpenzi yasababisha mauaji: Mkasa wa kusikitishaA wa 'Mr. Blue'

    Vyombo vya usafiri
  12. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Feedback ya :Anatafutwa Mzee Michael JUMA mkazi ya Masasi na Mtwara

    Namaiya mura weito
  13. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Feedback ya :Anatafutwa Mzee Michael JUMA mkazi ya Masasi na Mtwara

    Unatafuta mtu hujui yuko katika hali gani, anafanya nini, unajiandaa kumpa msaada kweli? OK na huko Musoma mlifika kama ndiyo ilikuwa kituo chake cha mwisho kufanya kazi
  14. Sweet16

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Majibu mabaya kwa mpenzi yasababisha mauaji: Mkasa wa kusikitishaA wa 'Mr. Blue'

    We nawe! Sio Mr Blue mwanamziki, hiyo Mr blue mtuhumiwa alipewa aka tu kwasababu alikuwa anatumia gari ya blue
Back
Top Bottom