Hata mimi niliwaza sana hili kwenye hii story, INSIDER MAN anaona iryn yuko sawa kuwa mchepuko na kufanya lolote nikawaza je angekuwa prisca amepokea simu ya mama ake si angemtoa baru na makofi juu? Afu iryn anjihesabia haki kuliko malaya wengine na kumuwekea masharti juu hajui kama naye ni...
Haijawahi tokea, nikufumbue macho enda soma aina za ndoa urudi hapa kama haujalelewa kwenye moja kati ya aina hizo za ndoa....nimelelewa kwenye ndoa ya baba na mama angu nami nalea wanangu kwenye ndoa yangu na mume wangu pole weee
Kwa vile we bado ni mtoto huoni cha kupoteza na hujui madhara yanayokuja baada ya wawili waliozaa kutengana na kiasi gani mtoto anaathirika kuoa sio cheti, kwa maisha anayoishi Insider na mama j hiyo ni ndoa..kasome aina za ndoa. Ni sawa anaweza kuoa, unafikiri iryn kwanini ajihesabie kuwa...
Pamoja na yooote huyo IRYN wako ni malayer kama malayer wengine wanaoingilia ndoa za watu! Ila kwa vile ni boss wako na ana pesa basi unaona hakuna kitu anaharibu pamoja na kwamba una mke na mtoto, hivi unafikiri mkeo akijua mahusiano yenu yatakuwa the same? Aahhh umbwa kabisa takataka
Nimeishi sana kuna maamuzi mengine yanahitaji kutafakari sana kabla binti hujakurupuka na tamaa, kitu ambacho nlikuwa nacho kichwani toka naanza ubinti ni kutoka na mzee wa kunizidi miaka zaidi ya 10 hukoo wakati huo sijaolewa akuuuu nlikataa na ntaendelea kukataa hata stim haziji
Hakunaga marehemu mwenye sifa mbaya sijui kwanini! Eti Gardner naye wakasema alikuwa na heshima kwa wanawake, sifa zooote za malaika wa mbinguni anapewaga marehemu! Na kati alikuwa akisemwa kakosa mwelekeo anakunywa pombe kawa kama wale wanywa matap tap alitukanaga wanawake hadi kigwangala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.