Recent content by Sweet16

  1. Sweet16

    Namuona Khamenei mwishoni mwa utawala wake

    Hawa ndiyo wamempokea mwenzetu anajilia raha tu
  2. Sweet16

    Count down to valentine

    Kwani wanaenda kujamiiana na watu wasiowajua? Na je valentine day ni siku ya kujamiiana?
  3. Sweet16

    Rostam Aziz huna cha kutubadilisha Watanzania hiyo Press yako ni kutaka tu kujichafua zaidi

    Hata akisema aliiba watz na sisi hatuna maamuzi tutaendelea kuimba rostam wa mama
  4. Sweet16

    Yesu alizikwa mara tu baada ya kufariki, kwanini Wakristo wanachelewesha mazishi na kuzichoma sindano maiti ili kuzuia kuoza na kunuka?

    Eti nguruwe akafukua sababu ya harufu akaja umbwa akapita na kichwa wanavosema ndo uhasama na hao viumbe ukaanza😀😀
  5. Sweet16

    Baada Ya Muda Kupita Nimeelewa Mo Alikuwa Anatoa Ujumbe Upi Na Kwa Nani , Na Alimaanisha nini...

    Bado kuna matahira yapo tu hawajui hata kesho watoto watakula nini ila amevaa kitenge kina picha yaa....au basi
  6. Sweet16

    Hivi madereva wa malori mna shida gani? Mbona hamridhiki na wake zenu na wanawake mnaowanunua huko barabarani?

    Aaahh kama sio kujiuza na kujisogeza some sogeza hao madereva wangempata wapi? Na wengine wanakuwa wanajiuza ila ndani ya yao kuna uporaji acha akome
  7. Sweet16

    Hivi madereva wa malori mna shida gani? Mbona hamridhiki na wake zenu na wanawake mnaowanunua huko barabarani?

    Wadada nao wamekuwa majambazi, labda deree alihisi anachotaka kufanyiwa na huyo dada akamgeuzia kibao akamlazimisha kunywa kinywaji alichopanga amleweshee deree
  8. Sweet16

    TANZIA Mwandishi wa BBC Eric David Nampesya amefariki Dunia

    Apumzike kwa amani..stress za simba zimemuua bora angehama mapema
  9. Sweet16

    Hiki kidoti kwenye paji la uso kina maana gani?

    Oooh ulitaka kusema nimkumbuke To yeye
  10. Sweet16

    Hiki kidoti kwenye paji la uso kina maana gani?

    Ilikuwa zamani sana mengine nimeanza kusahau, nimemkumbuka tu yeye
Back
Top Bottom