Sema ni kwetu watu tumekuwa juu ya sheria, kuna nchi wanajeshi wanapigana na raia ila hawatumii mamlaka yao kunyanyasa raia hata...hapo wangeamria jamaa akaeleze kama ni vihela kidogo atoe wamwache aendelee na safari yake.
Ataangalia mkataba wake alio sign unasemaje juu ya kusitisha mkataba au kuongeza kwa pande zote mbili mwajiri na mwajiriwa.....kama kuna kupeana taaraifa ndani ya siku kadhaa, kama kuna kulipana miezi kadhaa mmoja kati yao akikiuka makubaliano japo huwa haizidi miezi 3......
Cha muhimu sana...
Ila sasa dakika za jioni jioni kaka wa marehemu si akapindua meza kumbe kafia sauzi...."tuliongea kwenye simu akiwa sauzi akaniambia j3 sjui j4 anarudi ndiyo karudi akiwa haongei tena😢
Kwa jinsi wamempiga wakageuza eti wananchi wenye hasira kali ndo wamempiga, inamaana huyo traffic angekuwa na bunduki angembutua na wakasema ameua jambazi! Ila mbona nchi zingine hao askarli wanapigwa tu tena wameshikilia bunduki wanakunjana na wanachi ila hawawaui?
Yaani kiufupi mwandishi kwa wivu ulokuwa nao juu ya jamaa story umeipata kwa kusimliwa umekuja haraka bila kuwa na details za kutosha na furaha imekuponza hujui hata unachoandika
Ni muhimu akachanja pia maana yellow fever si ndo iko kwenye nchi za kusini mwa jangwa la Sahara...ni chanjo haina mambo mengi haileti mabadiliko mwilini zaidi ya kumkinga mhusika
Hazidownloadiki mkuu hospitals kubwa hata hiyo ya mkoa utaipata hata za wilaya unachanja unapatiwa yellow fever card.....kama unapita mipakani utaipata pia kama unatumia usafiri wa ardhini ni efu 30 tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.