Kama tulishasema tuna uchumi imara kuliko marekani unafikiri tunashindwa nini na wakati huo jeshi letu ni imara kuliko jeshi lolote duniani🤣🤣🤣 si ajabu tukawa na wanasheria wazuri wa kurudisha vilivyopotea na noah zetu tukageiwa
Zamani unayoisikia ni ile shule kwanza zilikuwa za kuhesabika mwanafunzi akishinda hata nauli analipiwa na serikali kwenda shule na kurudi nyumbani shule zinapofungwa, wakati huo wanahitimu darasa la 7 watu 50 kafaulu mmoja kwenda tobara boys au pugu, sasa wanafunzi wa chuo kikuu unafikiri...
Wakenya walipelekwa vijana wao hivyo hivyo kumbe wanaenda Russia front nini vitani mpaka leo wanalia watoto wao hawapatikani hawajui wako hai au walishakufa kuna mmoja huyo alilalamika BBC akihojiwa anasema kijana alimpigia anasema baba kumbe tumeletwa vitani Russia sio kazi za udereva! Toka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.