Recent content by Sweet16

  1. Sweet16

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Hata mimi niliwaza sana hili kwenye hii story, INSIDER MAN anaona iryn yuko sawa kuwa mchepuko na kufanya lolote nikawaza je angekuwa prisca amepokea simu ya mama ake si angemtoa baru na makofi juu? Afu iryn anjihesabia haki kuliko malaya wengine na kumuwekea masharti juu hajui kama naye ni...
  2. Sweet16

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Haijawahi tokea, nikufumbue macho enda soma aina za ndoa urudi hapa kama haujalelewa kwenye moja kati ya aina hizo za ndoa....nimelelewa kwenye ndoa ya baba na mama angu nami nalea wanangu kwenye ndoa yangu na mume wangu pole weee
  3. Sweet16

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kwa vile we bado ni mtoto huoni cha kupoteza na hujui madhara yanayokuja baada ya wawili waliozaa kutengana na kiasi gani mtoto anaathirika kuoa sio cheti, kwa maisha anayoishi Insider na mama j hiyo ni ndoa..kasome aina za ndoa. Ni sawa anaweza kuoa, unafikiri iryn kwanini ajihesabie kuwa...
  4. Sweet16

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Pamoja na yooote huyo IRYN wako ni malayer kama malayer wengine wanaoingilia ndoa za watu! Ila kwa vile ni boss wako na ana pesa basi unaona hakuna kitu anaharibu pamoja na kwamba una mke na mtoto, hivi unafikiri mkeo akijua mahusiano yenu yatakuwa the same? Aahhh umbwa kabisa takataka
  5. Sweet16

    DAR: Adaiwa kumuua mlinzi wake Pugu, baba yake naye auliwa

    Jino kwa jino wote tupate msiba dah
  6. Sweet16

    Hivi Baltika imeenda wapi jamani?

    bei yake tu ilikuwa sio rafiki afu likitu unakunywa linanuka pombe na halileweshi sasa la nini
  7. Sweet16

    Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

    Nimeishi sana kuna maamuzi mengine yanahitaji kutafakari sana kabla binti hujakurupuka na tamaa, kitu ambacho nlikuwa nacho kichwani toka naanza ubinti ni kutoka na mzee wa kunizidi miaka zaidi ya 10 hukoo wakati huo sijaolewa akuuuu nlikataa na ntaendelea kukataa hata stim haziji
  8. Sweet16

    Wosia wa Gardner lazima uheshimiwe, wimbo wake wa "Do you want a beer" lazima upigwe msibani

    Hakunaga marehemu mwenye sifa mbaya sijui kwanini! Eti Gardner naye wakasema alikuwa na heshima kwa wanawake, sifa zooote za malaika wa mbinguni anapewaga marehemu! Na kati alikuwa akisemwa kakosa mwelekeo anakunywa pombe kawa kama wale wanywa matap tap alitukanaga wanawake hadi kigwangala...
  9. Sweet16

    Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

    Ni mbuzi tu maana alifuata nini kwa wazee
  10. Sweet16

    Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

    Sana tu kama wote hawana adabu. Labda tu baba amkatalie kijana kwamba hakuna kuoa hiyo mbuzi
  11. Sweet16

    Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

    Na kijana akioa hakyanani ameletea baba ake utamu nyumbani
  12. Sweet16

    Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

    Wewe ukikuta kijakazi mkata majani anakula chuma yako utamfichia mabaya mkeo? Utamkumbatia kumlindia heshima? Acheni ubinafsi bana
  13. Sweet16

    Naishi na Mwanamke Nisiemfahamu, Nahitaji Namna Nzuri ya Kumuacha

    Unafikiri kama mama zako huko kwenu ni wasimbe makurumbembe malayer malayer flani hivi ukajua wote tuna life styles za hivo poleee
  14. Sweet16

    Naishi na Mwanamke Nisiemfahamu, Nahitaji Namna Nzuri ya Kumuacha

    Ale chuma hicho hakunaga formula ya kueleweka namna ya kuanza maisha ya ndoa
Back
Top Bottom