Recent content by Sweet16

  1. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Taja mawakili nguli wa serikali wenye uwezo wakupambana kwenye mahakama za kimataifa kwaniamba ya nchi na wakatoboa

    Kama tulishasema tuna uchumi imara kuliko marekani unafikiri tunashindwa nini na wakati huo jeshi letu ni imara kuliko jeshi lolote duniani🤣🤣🤣 si ajabu tukawa na wanasheria wazuri wa kurudisha vilivyopotea na noah zetu tukageiwa
  2. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Kitoweo ( nyama ) cha kulisha wanafunzi UDSM kila siku milo miwili bure kilitoka wapi?

    Zamani unayoisikia ni ile shule kwanza zilikuwa za kuhesabika mwanafunzi akishinda hata nauli analipiwa na serikali kwenda shule na kurudi nyumbani shule zinapofungwa, wakati huo wanahitimu darasa la 7 watu 50 kafaulu mmoja kwenda tobara boys au pugu, sasa wanafunzi wa chuo kikuu unafikiri...
  3. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi serikali kuwatafutia raia wake ajira nchi nyingine?

    Wakenya walipelekwa vijana wao hivyo hivyo kumbe wanaenda Russia front nini vitani mpaka leo wanalia watoto wao hawapatikani hawajui wako hai au walishakufa kuna mmoja huyo alilalamika BBC akihojiwa anasema kijana alimpigia anasema baba kumbe tumeletwa vitani Russia sio kazi za udereva! Toka...
  4. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Nimepoteza kadi ya Benki, baada ya muda nikaanza kupokea SMS za miamala kwenye simu yangu. Hili jambo linawezekanaje?

    Wewe sema unataka kufundishwa namna ya kuwaibia watu kwa ATM card zile za tuma kwenye namba hii saivi watu hawashtuki nazo.
  5. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Kenya nzima IPO gizani, wenda Tanzania ikawa gizani siku 3

    😝😝
  6. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Jifunze namna ya kujisamehe

    Nakupendaga bure we baba Bujibuji Simba Nyamaume na huyu mwingine sijui aliendaga wapi The Boss
  7. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Kenya nzima IPO gizani, wenda Tanzania ikawa gizani siku 3

    Sijuhi halimaanisha nini kwenye hile kahuli😝 ptuuu
  8. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Kenya nzima IPO gizani, wenda Tanzania ikawa gizani siku 3

    Yes yes....inshu😂 miss kolo yako niliiona
  9. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Nyumba za Polisi zateketea kwa moto Tanga

    Bora zilivoungua labda zitajengwa mpya maana sio kwa muonekano ule 😝
  10. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Nyumba za Polisi zateketea kwa moto Tanga

    Bora zilivoungua labda zitajengwa mpya maana sio kwa muonekano ule 😝
  11. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Nyumba za Polisi zateketea kwa moto Tanga

    Unashangaa mtu anakuwa na roho ngumu vile ni nini kumbe maisha yake yenyewe yanamchapa zile ni nyumba basi?
  12. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Kenya nzima IPO gizani, wenda Tanzania ikawa gizani siku 3

    Au sipitali badala ya hospitali
  13. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Ukimtembelea mgonjwa hospitalini kisha akuulize ni saa ngapi, usimwambie

    Israel yuko huko anahangaikaga na hezbola na sasa ni mwanaume Iran ameshindwa kumdhoofisha kama alivotegemea hapo kabla ya vita
  14. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Kenya nzima IPO gizani, wenda Tanzania ikawa gizani siku 3

    Mtu wa kutumiaga neno wenda naonaga ndiyo wale wa kusemaga nidip
  15. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Ukimtembelea mgonjwa hospitalini kisha akuulize ni saa ngapi, usimwambie

    Imani tu hizo, anayetwaa uhai ni Mwenyezi Mungu pekee sio saa wala wakati.
Back
Top Bottom