Recent content by Sweet16

  1. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Sema ni kwetu watu tumekuwa juu ya sheria, kuna nchi wanajeshi wanapigana na raia ila hawatumii mamlaka yao kunyanyasa raia hata...hapo wangeamria jamaa akaeleze kama ni vihela kidogo atoe wamwache aendelee na safari yake.
  2. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Mkataba umeisha tarehe 31 Agosti. Leo tarehe 8 Septemba napigiwa simu na mwajiri kua haongezi tena. Wanasheria tafadhali

    Ataangalia mkataba wake alio sign unasemaje juu ya kusitisha mkataba au kuongeza kwa pande zote mbili mwajiri na mwajiriwa.....kama kuna kupeana taaraifa ndani ya siku kadhaa, kama kuna kulipana miezi kadhaa mmoja kati yao akikiuka makubaliano japo huwa haizidi miezi 3...... Cha muhimu sana...
  3. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Kiongozi yoyote kusoma Hotuba/Taarifa iliyo na makosa kidogo na Kiuandishi na kutojiridhisha nayo ni kutulazimisha tuamini ulivyo Juha (Mpumbavu) sana

    Ila sasa dakika za jioni jioni kaka wa marehemu si akapindua meza kumbe kafia sauzi...."tuliongea kwenye simu akiwa sauzi akaniambia j3 sjui j4 anarudi ndiyo karudi akiwa haongei tena😢
  4. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Chama cha Madaktari Tanzania watoa Tamko Juu ya Kukamatwa kwa Dkt. Conrad Agonza Kahyoza

    Kwa jinsi wamempiga wakageuza eti wananchi wenye hasira kali ndo wamempiga, inamaana huyo traffic angekuwa na bunduki angembutua na wakasema ameua jambazi! Ila mbona nchi zingine hao askarli wanapigwa tu tena wameshikilia bunduki wanakunjana na wanachi ila hawawaui?
  5. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Akimbia baada ya gari yake kukutwa na mwili na bunduki, cash 600m na mihadarati

    Yaani hapo anafurahia bora limkute viishe tufanane, kakimbia jf kumalizia furaha yake kwa kusimlia ila kaharibu
  6. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Mungu bado hajapiga panapouma, tunamuomba Mungu apige kwenye mshono. Wamalawi hilo ndio ombi letu

    Off target zinakuwa nyingi sana sijui nani yuko hapo anambadilishia list chini juu, juu chini
  7. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Vijana wengi wa Kinondoni ni Hasara Taslimu

    Tandika na mbagala pia
  8. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Akimbia baada ya gari yake kukutwa na mwili na bunduki, cash 600m na mihadarati

    Yaani kiufupi mwandishi kwa wivu ulokuwa nao juu ya jamaa story umeipata kwa kusimliwa umekuja haraka bila kuwa na details za kutosha na furaha imekuponza hujui hata unachoandika
  9. Sweet16

    JamiiForums Tanzania VETA yatangaza mpango wa kuzalisha simu brand name 'Ujuzi pro

    Nabii hana heshima kwao, nani atazinunua? Watengenezaji wenyewe nauhakika hawatazitumia wanatumiaga Samsung na iPhone
  10. Sweet16

    JamiiForums Tanzania VETA yatangaza mpango wa kuzalisha simu brand name 'Ujuzi pro

    Nabii hana heshima kwao itakuwa kama gari la masoud kipanya tu na sijui liliishia wapi sijui ni masoud au nimemix by
  11. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Nitapataje Yellow Fever Vaccine Certificate nipo Morogoro (Yellow Fever Card)

    Na zinatofautiana kweli yalinikuta🤣🤣 ikitokea wakalisimamia vyema card ya kwanza nlinunua nikapewa sio nikapita zangu akati narudi mpakani wakanikazia hiyo card sio yao😏 Ikabidi nichanje tu nikapewa card ingine genuine sasa
  12. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Nitapataje Yellow Fever Vaccine Certificate nipo Morogoro (Yellow Fever Card)

    Ni muhimu akachanja pia maana yellow fever si ndo iko kwenye nchi za kusini mwa jangwa la Sahara...ni chanjo haina mambo mengi haileti mabadiliko mwilini zaidi ya kumkinga mhusika
  13. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Nitapataje Yellow Fever Vaccine Certificate nipo Morogoro (Yellow Fever Card)

    Hazidownloadiki mkuu hospitals kubwa hata hiyo ya mkoa utaipata hata za wilaya unachanja unapatiwa yellow fever card.....kama unapita mipakani utaipata pia kama unatumia usafiri wa ardhini ni efu 30 tu
  14. Sweet16

    JamiiForums Tanzania Wapi chuo cha teolojia cha walokole

    Ujue kusema "chiyoni ya leo mbengo zetafongokaaa"
Back
Top Bottom