Inaonekana kachaniwa pochi huyo na kibaka mtakatifu ila jamani shetani hana huruma hata kama ni kuokota basi angerudisha si wako mahali patakatifu au wameenda tu kutembea na sio kuomba
Congo asilimia kubwa hao wadudu wanaliwa na weeengi sana nguchiro, tumbiri, nyani, chatu, kifutu, panya buku, panya wa kawaida ila wa porini kwenye mashimo, viruru wanaita nswa (mchwa) mafinyo finyo, imbwa (mbwa) hasa kabila la chiluba (wakasai)
Bora hao majambazi, ma drugs dealer wanakuja kupumzika tu wakiskilizia nchini mwao kunaendekaje afu wanarud zao kwao kuliko sir*ika*li tuliyonayo ya mauaji ya halaiki, watekaji, wasababisha hali ngumu ya maisha kwa wananchi, wanyanyasaji wa wenzao na kuwaita wahaini tuko nao na hakuna kitu...
Africa ndiyo tunasoma nchi zilizoendelea, sasa nchi zilizoendelea zinawezaje kusoma third world countries? Mfano Mo anaweza kuwajua masikini wa buza? Ila masikini wa Buza wanamfahamu Mo na pengine hadi huko mikocheni sjui msasani anapoishi......ila Mo hawezi kujua hata buza iko wapi anaweza...
Unatafuta mtu hujui yuko katika hali gani, anafanya nini, unajiandaa kumpa msaada kweli? OK na huko Musoma mlifika kama ndiyo ilikuwa kituo chake cha mwisho kufanya kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.