Niko hoi, hata huku naona tabu kuingia!!asubuhi hii tu nimegonga, na nina siku kadhaa nitue, wanaokosa kwa wake zao wakiwa wajawazito wanamiss, kwa mujibu wa mr anadai ni tofauti na nikiwa sina mimba, anasumbua balaa, thanks God na mimi napenda sana hiyo kitu nikiwa na mimba, wala hatumii nguvu...