Buhahahahahahahahaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ukweli mimi sijawah sikiliza hata moja.
Ila nakumbuka hotuba za mwamba pale ofsini walikua wanawasha redio kwa sauti kubwaaa na kila mtu anasikiliza hata kula watu hawali mpaka hotuba iishe.....wengne walikua wanaandika adi notisi
Hakuna jipya lolote kwa serikali hii iliyojaa watendaji wale wale na wawekezaji ni wale wale.nafanya kazi kwa taasisi moja iliyobinafsishwa ukweli ni kwamba hakuna mwekezaji anayetaka kutupatia faida kubwa sisi.ni anatumia mbinu zote ku-declare faida kidogo kila siku na zaidi sana anaweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.