Recent content by Swahili_Patriot

  1. Swahili_Patriot

    Dalili za awali wa anguko la CCM

    Lastly kwa wale wa bando la jefero hii haiwahusu, samahanini sana. Yeyote mwenye bando la uhakika fuatilia ujionee jinsi watu mbali mbali walivyotiwa ndimu. Ni hatareeee
  2. Swahili_Patriot

    Dalili za awali wa anguko la CCM

    Nadhan nyote mnajua ni nguvu nyingi kiasi gani imetymika kuappload izo videos zotee kwa mkupuo maana wamekuwa wakinizuia kuzipost mchana. Haya sasa ahadi yangu nimeimaliza kwa 50%. Nikirudi kwa awamu ya pili, wakati huu nitakuja strictly na clips za viongozi. Mungu ibariki Tanzanian, Mungu...
  3. Swahili_Patriot

    Uhalisia jinsi ulivyo

  4. Swahili_Patriot

    GE2025 Hivi haya maandamano ya tarehe 29 ni ya CHADEMA au mbona sielewi?

    Wameniblock nisitume hizi clips ila nitazituma tu kwa njia yeyote ile
  5. Swahili_Patriot

    Dalili za awali wa anguko la CCM

    Sasa sio siri tena, watanzania tumechoshwa na uonguzi uliokebehi uonevu, ufisadi na an oppressive one. Mungu isaidie tanzania. Mungu tuongoze. Revolution is a process, itachukua muda ila ikianza hakutokuwa na solution hadi tutapofikia matakwa yetu ya uongozi thabiti. Kwa haya yanayoendelea...
  6. Swahili_Patriot

    Maisha ya uoga wa kupotezewa maisha yao yametanda Tanzania

    Ni ukweli ijapokuwa unauma sana. Kwa sasa ni shidaaah
  7. Swahili_Patriot

    DART inatarajia kupokea shehena ya mabasi 99 ya mwendokasi

    Tokeni zenu uko. Mnatuona mandeeeezi. Mlituonyesha mabus yale ya scania ya mwendo kasi. Imepita miezi sasa bila kuona hata bus moja. Sasa mnakuja na mabus ya kichina, acheni upuuzi. Kazi nzuri itajiongelea yenyewe tu. Leteni vyuma ndio sifa zifuate baadae. Nyinyi mnatupiga porojo tu bila utekelezaji
  8. Swahili_Patriot

    Muda wowote Nitaeleza kwa kina juu ya wote wanaotaka Kumyumbisha Rais Samia na kuleta Vurugu na kuigawa CCM

    surely, nitampendaje Samia ilhali magufuli did us this great in just 6 yrs? How?? Bila shaka nyinyi sio watanzania
  9. Swahili_Patriot

    Katika Yesu hawa wawili yupi tumuamini?

    Almost niropokwe kuwa dini gani vitabu vyale vina versions zaidi ya 1000??? Dini gani ukichukua vitabu vyake viwili tofauti basi kwenye sehemu tricky most probably lazima ukuwe na mtafaruku au kimoja kielezee hiki ilhali cha pili kisiwepo kabisaaaa. Dini gani viongozi wake wanaruhusu vitendo vya...
  10. Swahili_Patriot

    "Bottom Up" Yamtokea puani William Rutto

    None is wrong in his own mind. Who am I kukujudge! Nimekuelewa kwa utuo. Msg delivered
  11. Swahili_Patriot

    "Bottom Up" Yamtokea puani William Rutto

    Ova ova ova, mwandishi samahani ila wewe ni mpuuzi. Our late president was not a dictator, alikataa kufuata matakwa ya mabepari ndio maana wakampa hilo jina la udiktera. Ila tukirudi kwenye rekodi, pia idi amin, gadafi, sankara, traole na magufuli wote walipewa tittle ya dictatorship? Why...
  12. Swahili_Patriot

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    "I know the outcome; Iran isn't Russia, North Korea, or China. The fact that they've survived for over 20 years under heavy and intriguing restrictions and sanctions doesn't mean they're able to stand directly against the USA in a war. It's obvious Israel will win. It's also clear that Al-Masih...
  13. Swahili_Patriot

    Israel yaishambulia Iran, milipuko yasikika katika mji mkuu wa Tehran

    Mmmh, kweli CCM imefanikiwa kukaa madarakani kwa kutupumbaza kwa elimu hafifu na isiyokidhi vigezo kabisaaa. Yani watu wanaropokwa bila kujua wanachokiongelea bila ya kujishtukia! Ajabu! Hivi mnajua kuwa Iran imekuwa ikiwekewa vikwazo vizito kama Russia n north Korea kwa zaidi ya miaka 40 hadi...
Back
Top Bottom