Lastly kwa wale wa bando la jefero hii haiwahusu, samahanini sana. Yeyote mwenye bando la uhakika fuatilia ujionee jinsi watu mbali mbali walivyotiwa ndimu. Ni hatareeee
Nadhan nyote mnajua ni nguvu nyingi kiasi gani imetymika kuappload izo videos zotee kwa mkupuo maana wamekuwa wakinizuia kuzipost mchana. Haya sasa ahadi yangu nimeimaliza kwa 50%. Nikirudi kwa awamu ya pili, wakati huu nitakuja strictly na clips za viongozi. Mungu ibariki Tanzanian, Mungu...
Sasa sio siri tena, watanzania tumechoshwa na uonguzi uliokebehi uonevu, ufisadi na an oppressive one. Mungu isaidie tanzania. Mungu tuongoze. Revolution is a process, itachukua muda ila ikianza hakutokuwa na solution hadi tutapofikia matakwa yetu ya uongozi thabiti.
Kwa haya yanayoendelea...
Tokeni zenu uko. Mnatuona mandeeeezi. Mlituonyesha mabus yale ya scania ya mwendo kasi. Imepita miezi sasa bila kuona hata bus moja. Sasa mnakuja na mabus ya kichina, acheni upuuzi. Kazi nzuri itajiongelea yenyewe tu. Leteni vyuma ndio sifa zifuate baadae. Nyinyi mnatupiga porojo tu bila utekelezaji
Almost niropokwe kuwa dini gani vitabu vyale vina versions zaidi ya 1000??? Dini gani ukichukua vitabu vyake viwili tofauti basi kwenye sehemu tricky most probably lazima ukuwe na mtafaruku au kimoja kielezee hiki ilhali cha pili kisiwepo kabisaaaa. Dini gani viongozi wake wanaruhusu vitendo vya...
Ova ova ova, mwandishi samahani ila wewe ni mpuuzi. Our late president was not a dictator, alikataa kufuata matakwa ya mabepari ndio maana wakampa hilo jina la udiktera. Ila tukirudi kwenye rekodi, pia idi amin, gadafi, sankara, traole na magufuli wote walipewa tittle ya dictatorship? Why...
"I know the outcome; Iran isn't Russia, North Korea, or China. The fact that they've survived for over 20 years under heavy and intriguing restrictions and sanctions doesn't mean they're able to stand directly against the USA in a war. It's obvious Israel will win. It's also clear that Al-Masih...
Mmmh, kweli CCM imefanikiwa kukaa madarakani kwa kutupumbaza kwa elimu hafifu na isiyokidhi vigezo kabisaaa. Yani watu wanaropokwa bila kujua wanachokiongelea bila ya kujishtukia! Ajabu!
Hivi mnajua kuwa Iran imekuwa ikiwekewa vikwazo vizito kama Russia n north Korea kwa zaidi ya miaka 40 hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.